Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,042
- 16,039
Wamepita kwetu cha ajabu sijawaona na sare maalum kama ilivyotangazwa! Hapo ndo serikali dhaifu inapoonekana!
Inawezekana ufisadi umefanyika maana nami nawaona wanapita bila sare kama ilivyotangazwa ktk media, wakija kwangu nawaambia wakavae sare kwanza.