Kampuni zinazohusika na kutengeneza pesa

Mkuu kuna njia sita za kuamua kushusha au kupandisha thamani ya fedha na pia zipo mpaka njia za kimafia za kupandisha au kushusha kama nilivyo sema hapo mwanzo kuwa ukitaka kukipandisha kitu thamani kifanye kuwa adimu pia ukitaka kukishusha kitu thamani basi kifanye kipatikane kwa wepesi na pia thamani ya kitu chochote uamuliwa na nguvu ya soko sasa nikujibu kwa nn nilisema kuwa ku print print fedha bila ya sababu za msingi ni kubaya na pia kunachangia kushuka kwa thamani ya fedha

mfano Leo tukiamua ku print tuu fedha inamaana mzunguko wa fedha utakuwa mkubwa so kutapelekea mfumuko wa bei (differentials in inflation) kama nilivyo sema thamani ya fedha uamuliwa na nguvu ya soko so wafanyabishara watapandisha vitu bei na wananchi mtaona poa tu kwa sababu mnazo fedha mifukoni ebu fikilia Leo unanunua unga kilo sh elf 5 au sukari kilo sh elfu 10 Hv hapo kunaitaji degree kujua fedha yetu imeshuka thamani? ???
Mkuu uko sawa sana, sasa kinachofanya nchi ijue kuwa kwa sasa tunahitaji kiasi fulani cha fedha kutosha kwenye mzunguko kwa wakati huo ni nini?
 
Na kwa mfano sasa hv naona pia mzunguko wa hela umekuwa mdogo sana, ina maana hvyo ndo inapanda thaman,na kama inapanda mbona na doller nayo inapanda hvyo?
 
Mkuu uko sawa sana, sasa kinachofanya nchi ijue kuwa kwa sasa tunahitaji kiasi fulani cha fedha kutosha kwenye mzunguko kwa wakati huo ni nini?
majukumu makubwa ya central banks au federal reserved banks zozote duniani ni supply and monitoring currently pia kuna kitu kinachowaongoza ni monetary policy act pia kusimamia bank zingine ambazo zipo Chini yake katika mashwala ya mikopo na viwango vya riba vinavyo tozwa na bank hizo

pia kudhibiti mfumuko wa bei (differentials in inflation) adui mkubwa katika kushusha thamani ya fedha pia central bank ndo inahusika pia katika ku print fedha pale panapotokea maitaji hayo mfano cc kunafedha ambazo zinatoka kwenye mzunguko kwa kuchakaa au kuchanika so automatically zinakuwa zimetoka kwenye mzunguko zitaitajika zingine ku replace zile zilizotoka kwenye mzunguko
 
Na kwa mfano sasa hv naona pia mzunguko wa hela umekuwa mdogo sana, ina maana hvyo ndo inapanda thaman,na kama inapanda mbona na doller nayo inapanda hvyo?
zipo njia 6 za kupandisha au kushusha thamani ya fedha na zipo mpaka njia za kimafia za kufanya hvyo pia kuadimika kwa fedha mitaani c kwamba ndo fedha inapanda thamani ila kunasaidia katika ku reduce inflation adui mkubwa katika kushusha thamani ya fedha mfano mfanyabiashara huwezi kupandisha bei wakat watu hawana fedha mifukoni lazima watapiga kelele tu kupitia kelele hizo taasisi zinazihusika zitawasikia na kulifanyia kazi swala lao nadhani Tanzania tuna tume ya kupanga bei
 
Samahani kwa nini picha ya hela haibadiliki ni ileile ya mwl nyerere kwani wengini hawaruhusiwi na mantiki ya picha nini
 
Samahani kwa nini picha ya hela haibadiliki ni ileile ya mwl nyerere kwani wengini hawaruhusiwi na mantiki ya picha nini
Nadhani ni maamuzi tu ya serikali kuendelea kumtukuza mwl Nyerere ila uwezekano wa kubadili upo mfano ni ile dolar 20 ya Marekani ambayo imebadilishwa picha
 
Pesa ya Tanzania inatengenezwa Ujerumani, kama Sikosei na huwa inatangazwa zabuni na mshindi ndiye anayechukua tenda na malipo ni kama tenda nyingine tu mkuu!!
Ila nasikia pesa ya Marekani inatengenezwa na freemason ingawa sina uhakika sana!!
Freemason wanatofauti gani na watu wengine zaidi ya tofauti ya imani?
 
kila nchi inautaratibu wake katika utengenezaji wa fedha zake mfano tuzungumzie marekani coz ndo fedha yake utumika Kwa wingi duniani kule kuna taasisi inaitwa bureau of engraving and printing (BEP) hii ni taasisi inayoshugulikia uchapishaji na usambazaji wa fedha ya marekani kuna viwanda viwili ndani ya marekani kimoja kipo fort Worth TEXAS na Kingine kipo nje kidogo ya jiji Washington karibu na yaliyokuwa makao makuu ya kampuni na viwanda vya kutengeneza ndege vya Boeing Everett Washington bt now Boeing makao makuu wameanishia north riverside illinois Chicago hapo ndo sehemu zinapochapishwa fedha za marekani na ulinzi wa hapo kiwandani ni mkubwa sana mfanyakazi aruhusiwi kutoka hata na kipande cha karatasi ingawa kipindi cha nyuma kuna mfanyakazi mmoja alishawahi kuiba fedha Kwa kujiwekea POP na alikuwa mjamzito so hakuwa anapita kwenye scanner kutokana na hali yake so akawa anafanyiwa ukaguzi wa kupapaswa kumbe alikuwa anazisokomeza ndani ya POP lililokuwa kwenye mguu wake

bt duniani kuna makampuni yanayotengeneza fedha mengi yako nchi za ujerumani UK na Swiss bt yanakuwa controlled by government so kama nchi inataka kutengeneza fedha zake wanatangaza tender za makampuni yana shindana ya mshindi anapata tenda ya kutengeneza malipo mnalipa Kwa dollars coz fedha nayo ni bidhaa inauzwa kama zilivyo bidhaa nyingine

Kwa Tanzania fedha zetu tunazitengenezea Germany na kusafiliswa kwenye containers mpaka kwenye port zetu then utaratibu wa custom ufanyika kuzitoa ni kama mizigo mengine inavyotolewa bt mzigo huu ni HVC high value cargo na ulinzi wake ni mkubwa sana kumbuka duniani kinacholindwa si fedha bt ni makaratasi ya kutengeneza fedha kwani tofauti ya fedha bandia na alali ni karatasi tu bt kila kitu vinaweza kufafana
Elimu nzuri asante
 
kila nchi inautaratibu wake katika utengenezaji wa fedha zake mfano tuzungumzie marekani coz ndo fedha yake utumika Kwa wingi duniani kule kuna taasisi inaitwa bureau of engraving and printing (BEP) hii ni taasisi inayoshugulikia uchapishaji na usambazaji wa fedha ya marekani kuna viwanda viwili ndani ya marekani kimoja kipo fort Worth TEXAS na Kingine kipo nje kidogo ya jiji Washington karibu na yaliyokuwa makao makuu ya kampuni na viwanda vya kutengeneza ndege vya Boeing Everett Washington bt now Boeing makao makuu wameanishia north riverside illinois Chicago hapo ndo sehemu zinapochapishwa fedha za marekani na ulinzi wa hapo kiwandani ni mkubwa sana mfanyakazi aruhusiwi kutoka hata na kipande cha karatasi ingawa kipindi cha nyuma kuna mfanyakazi mmoja alishawahi kuiba fedha Kwa kujiwekea POP na alikuwa mjamzito so hakuwa anapita kwenye scanner kutokana na hali yake so akawa anafanyiwa ukaguzi wa kupapaswa kumbe alikuwa anazisokomeza ndani ya POP lililokuwa kwenye mguu wake

bt duniani kuna makampuni yanayotengeneza fedha mengi yako nchi za ujerumani UK na Swiss bt yanakuwa controlled by government so kama nchi inataka kutengeneza fedha zake wanatangaza tender za makampuni yana shindana ya mshindi anapata tenda ya kutengeneza malipo mnalipa Kwa dollars coz fedha nayo ni bidhaa inauzwa kama zilivyo bidhaa nyingine

Kwa Tanzania fedha zetu tunazitengenezea Germany na kusafiliswa kwenye containers mpaka kwenye port zetu then utaratibu wa custom ufanyika kuzitoa ni kama mizigo mengine inavyotolewa bt mzigo huu ni HVC high value cargo na ulinzi wake ni mkubwa sana kumbuka duniani kinacholindwa si fedha bt ni makaratasi ya kutengeneza fedha kwani tofauti ya fedha bandia na alali ni karatasi tu bt kila kitu vinaweza kufafana

Kwakuongezea...nadhan fedha zikishatengenezwa lazima ziingizwe kwenye mzunguko na kazi hii hufanywa na benk kuu ya nchi husika na kunataratibu za kuhakiki namba za noti zote na kuzihalalisha kama fedha halali inayoweza kutumika hivyo kabla ya fedha kufika kwenye bank kuu sidhan kama zinaweza kutumika hivyo kuiba fedha ambazo zimetoka kutengenezwa hakuwezi kuwa na maana...ikitokea fedha izo zimeibwa bank kuu wanachokifanya ni kuziangaza namba za noti hizo kwamba siyo halali hivyo inakuwa ngumu sana kuzitumia..!!
 
majukumu makubwa ya central banks au federal reserved banks zozote duniani ni supply and monitoring currently pia kuna kitu kinachowaongoza ni monetary policy act pia kusimamia bank zingine ambazo zipo Chini yake katika mashwala ya mikopo na viwango vya riba vinavyo tozwa na bank hizo

pia kudhibiti mfumuko wa bei (differentials in inflation) adui mkubwa katika kushusha thamani ya fedha pia central bank ndo inahusika pia katika ku print fedha pale panapotokea maitaji hayo mfano cc kunafedha ambazo zinatoka kwenye mzunguko kwa kuchakaa au kuchanika so automatically zinakuwa zimetoka kwenye mzunguko zitaitajika zingine ku replace zile zilizotoka kwenye mzunguko

Nini madhara yakuficha mabilioni ya fedha ndani ambayo hayatumiki?
 
kila nchi inautaratibu wake katika utengenezaji wa fedha zake mfano tuzungumzie marekani coz ndo fedha yake utumika Kwa wingi duniani kule kuna taasisi inaitwa bureau of engraving and printing (BEP) hii ni taasisi inayoshugulikia uchapishaji na usambazaji wa fedha ya marekani kuna viwanda viwili ndani ya marekani kimoja kipo fort Worth TEXAS na Kingine kipo nje kidogo ya jiji Washington karibu na yaliyokuwa makao makuu ya kampuni na viwanda vya kutengeneza ndege vya Boeing Everett Washington bt now Boeing makao makuu wameanishia north riverside illinois Chicago hapo ndo sehemu zinapochapishwa fedha za marekani na ulinzi wa hapo kiwandani ni mkubwa sana mfanyakazi aruhusiwi kutoka hata na kipande cha karatasi ingawa kipindi cha nyuma kuna mfanyakazi mmoja alishawahi kuiba fedha Kwa kujiwekea POP na alikuwa mjamzito so hakuwa anapita kwenye scanner kutokana na hali yake so akawa anafanyiwa ukaguzi wa kupapaswa kumbe alikuwa anazisokomeza ndani ya POP lililokuwa kwenye mguu wake

bt duniani kuna makampuni yanayotengeneza fedha mengi yako nchi za ujerumani UK na Swiss bt yanakuwa controlled by government so kama nchi inataka kutengeneza fedha zake wanatangaza tender za makampuni yana shindana ya mshindi anapata tenda ya kutengeneza malipo mnalipa Kwa dollars coz fedha nayo ni bidhaa inauzwa kama zilivyo bidhaa nyingine

Kwa Tanzania fedha zetu tunazitengenezea Germany na kusafiliswa kwenye containers mpaka kwenye port zetu then utaratibu wa custom ufanyika kuzitoa ni kama mizigo mengine inavyotolewa bt mzigo huu ni HVC high value cargo na ulinzi wake ni mkubwa sana kumbuka duniani kinacholindwa si fedha bt ni makaratasi ya kutengeneza fedha kwani tofauti ya fedha bandia na alali ni karatasi tu bt kila kitu vinaweza kufafana
Umesomeka mkuu
 
kila nchi ina kitu kinaitwa money policy act MPA huu ndo mwongozo wa central bank zote duniani ikiongozwa na WB mfumo huu ndo unawaongoza katika ku supply and monitoring currently so kuhusu ni kiasi gani wanachapisha inategemea na maitaji ya nchi husika kuna msemo wa kibiashara unasema ukitaka kukipandisha kitu thamani kifanye kuwa adimu pia ukitaka kukishusha kitu thamani basi kifanye kipatikane kwa wepesi so chaguo ni lako kuchapisha tuuuuu au kuchapisha pale inapoitajika

kwa wenzetu yani federal reserve bank and bank of England pia na bank of Canada hawa ndo wanacontrol karibu institutions zote za fedha ikiwamo WB na IMF so ni kama money policy act wanazizibiti wao

lakini thamani ya fedha hawapangi wao kama ingekuwa hvyo basi dollar ndo ingekuwa na thamani kuliko zote bt kuna fedha za nchi zingine zimeizd thaman usd mfano Swiss fanc pound na dinar ya Oman

pia wenzetu wana mfumo mzuri mfano marekani kiwanda cha kutengeneza fedha cha fort Worth cha TX na cha Washington cha tour and visitor centre kwa pamoja vinauwezo wa kutengeneza kiasi cha dollar million 28 par hour na pia wameweka expire date ya ela yao ili kuweza kujua ni kiasi gani cha fedha kipo katika mzunguko duniani na pia kudhibiti mijitu inayoficha ela kwenye masandarusi na ndoo coz ikifika mda fedha inaexpire so ikiexpire mkononi mwako itakuwa ni taratasi tu coz huwezi kufanya manunuz yeyote popote pale kwani itakuwa imeondolewa kwenye mzunguko nadhani ni miaka 10 wao hawasuhili mpaka ela ichanike au kuchakaa kama tunavyofanya ss
Ongera sana mkuu,nakupata sana uku nashushia na dragon baridiiii
 
Back
Top Bottom