Kampuni za simu zaweza kusaidia kumjua mgoni wako?

hahaha ila ni vyema ndani ya mahusiano kusiwepo na cheating tu..


Very perfect, ... but idel and utopic. Ukifanikiwa kuipata hiyo zawadi basi katoe sadaka. Mungu akupe gunia la chawa? Ni wachache sana tunaweza kusema bila kumung'unya midomo kuwa siyo waumini wa hiyo dini ingawa inavutia sana kui-join!!!
 
sitapenda kabisa kumjua mgoni wangu!....


G, endapo hajaingia kwenye 18 zako na au hujanusa harufu yake. Ikikutokea ukajua basi malizana na hiyo karaha. Pilot ni wewe mwenyewe, unatua au unaendelea kuishi angani hadi mafuta yote yaishe? Just choose which makes sense and saves your life!
 
sijapendezwa na jinsi mnavyolichukulkia hili suala. kama vile rahisi sana. nyie wote mnaosema aache upuuzi mna matatizo, tena si madogo. i can tell from what you have written. hamna uwezo wa kujibainisha (empathy) kujua huyu jamaa anahisi nini. mkeo kuliwa au mumeo kuiba nje kwenu. muelekezeni ni vipi anaweza kutatua tatizo lake na si kukejeli. hao wa makampuni ya simu mbona huwa wanatoa hhizp taarifa? be wise

hajakejeliwa mtu... hapa ishu ni kwamba huyo jamaa amshikilie kidedea huyo wife wake huko ndio wakumpa ukweli...ebo!.
 
AK wewe mchokozi sana. Unataka kuniingiza kwenye suala lenye utata kama hili. Hata hivyo umeshindwa kuona kuwa Babaa alishadokeza mapema kwamba huenda wote wawili wanacheza rafu. Kwa hiyo ajiangalie kwanza. Hata hivyo jaribu kumpa ushauri tu kuwa hakuna formula ya ku-handle issue ngumu kama hizi. To handle an emergency is an emergency as well.

unajua yule jamaa alisema kuwa haipaswi simu kuziacha freely accessible miongoni mwa wanadoa na ndio nikakumbuka thread yako ya juzi kuhusu sim, nikaona nikuchokoze kidogo utoe maoni yako.

otherwise, hiki kisa nacho naona kinaingia miongoni mwa visa vya hatari ya kuacha simu accessible kwa wanandoa, kumbuka anaweza kufa mrtu hapo! na simu itakuwa imechangia
 
unajua yule jamaa alisema kuwa haipaswi simu kuziacha freely accessible miongoni mwa wanadoa na ndio nikakumbuka thread yako ya juzi kuhusu sim, nikaona nikuchokoze kidogo utoe maoni yako.

otherwise, hiki kisa nacho naona kinaingia miongoni mwa visa vya hatari ya kuacha simu accessible kwa wanandoa, kumbuka anaweza kufa mrtu hapo! na simu itakuwa imechangia


Kama huwezi kuyaoga kwa nini uvue nguo? Waseja wapo wengi tu na pia tunaobudu dini ya "No cheating in marriage" tupo. Ni uamuzi wa mtu kuchagua dini ipi inamfaa. Pia kama unajua mwenzio ana-cheat au anaweza kuwa miongoni mwa cheaters lakini umeamua kumvumilia, basi jiwekee strict privacy rules/embargo kwenye vitu vyake kwa 100%. Kwa njia hiyo naamini huwezi kupata stroke au BP.
 
otherwise, hiki kisa nacho naona kinaingia miongoni mwa visa vya hatari ya kuacha simu accessible kwa wanandoa, kumbuka anaweza kufa mrtu hapo! na simu itakuwa imechangia

Yes mtu anaweza kufa na katika kuacha na bila kujua ni kujitangazia kifo cha dhahiri; kwa presha ama kwa ukimwi amabo mwenzi wakoa anaweza kukubebea hukoo;

kujua nini kinaendelea kunakuwezesha wewe kuchukua hatua
 
:D na haya makampuni ya simu yakianza kutoa siri za wateja basi itabidi watu warudi kwenye zama za kati za mawe sijui walikuwa wanawasiliana kwa njia gani?


Hawakuwa wanamegana kihasara namna hii kama sisi!

Isitoshe ndoa iliheshimiwa na watu wote kikweli!:)
 
Jana nimepata email ya rafiki yangu anaomba ushauri wangu eti anamhisi mkewe anatembea nje ya ndoa.

Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama "taxi 3". Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.

Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?

hata akimjua itamsaidia nini? mkewe anatoka nje sababu kuna some detais amekosa huyo jamaa yako.

ajitahidi kumridhisha kama hawezi aache wenzake waendelee, hao ndiyo wanaume msio na confidence - mke wako akirudi unapekua simu - na ikiita tu hata kama yupo mbali we unakimbilia unapokea unaanza kupepeleza kapokea nani - mzee kazi unayo.
 
Kama huwezi kuyaoga kwa nini uvue nguo? Waseja wapo wengi tu na pia tunaobudu dini ya "No cheating in marriage" tupo. Ni uamuzi wa mtu kuchagua dini ipi inamfaa. Pia kama unajua mwenzio ana-cheat au anaweza kuwa miongoni mwa cheaters lakini umeamua kumvumilia, basi jiwekee strict privacy rules/embargo kwenye vitu vyake kwa 100%. Kwa njia hiyo naamini huwezi kupata stroke au BP.

ila waweza kupata ukimwi????????????????////

hahahahah............................
 
mkewe anatoka nje sababu kuna some detais amekosa huyo jamaa yako.

ajitahidi kumridhisha kama hawezi aache wenzake waendelee,

Ndugu yangu si kweli hata kidogo! ni hulka mabayo mtu anaijenga na kuikubali na baadaye inakuwa tabia yake; kwetu sote waume na wake; Nimeshudia waume watanashati wakiwa na wake wazuri tu; wapole na wenye sifa ya kuitwa mama bado wamewawaendea nje wake zao! Vivyo hivyo kwa mwanamke na mara nyingi unakuta mtu wa nje hafiki hata nusu ya ubora alionao mwenzi wa ndoa; ni mara chache ndio nimekuta kinyume na hapo!
 
=Masikini_Jeuri;775625]Ndugu yangu si kweli hata kidogo! ni hulka mabayo mtu anaijenga na kuikubali na baadaye inakuwa tabia yake; kwetu sote waume na wake;

Hapo ni kweli kabisa. Tuko pamoja.

Nimeshudia waume watanashati wakiwa na wake wazuri tu; wapole na wenye sifa ya kuitwa mama bado wamewawaendea nje wake zao! Vivyo hivyo kwa mwanamke na mara nyingi unakuta mtu wa nje hafiki hata nusu ya ubora alionao mwenzi wa ndoa; ni mara chache ndio nimekuta kinyume na hapo!


Ndugu yangu inaonekana hayo mambo bado unayaangalia kwa mtazamo wa kufikirika. Uzuri wa mtu (kwa umbo) unaishia kwenye mlango wa nyumba. Humo ndani hakuna cha miss, model au Mr Dar, Tz wala USA. Mle ndani na hasa chumbani kuna watu ambao wanatakiwa kuishi kwa kuridhika tu hata kama kweli hawaridhiki. Huo uzuri wanauona watu baki. Mwenye mke au mume wakati mwingine anaona anaishi na mtu tu (wakati mwingine mpuuzi fulani, lofa au anaye-bore), bila kujali ni presida, pedeshee au Mama Africa. Saikolojia ya ndani ya ndoa si rahisi kama unavyodhani!!
 
Jana nimepata email ya rafiki yangu anaomba ushauri wangu eti anamhisi mkewe anatembea nje ya ndoa.

Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama "taxi 3". Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.

Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?


Sheria inawabana wenye makampuni ya simu kutoa detaills za matumizi ya simu ya mteja wao isipokuwa by police order or court order ni sawasawa na bank details za mtu.huwezi kupewa benki statement ya mke wako.

Hivi kama unataka kujua details za simu ya mke wako basi azisha kesi ya kumtuhumu anatoka nje ya ndoa.
 
Sheria inawabana wenye makampuni ya simu kutoa detaills za matumizi ya simu ya mteja wao isipokuwa by police order or court order ni sawasawa na bank details za mtu.huwezi kupewa benki statement ya mke wako.

Hivi kama unataka kujua details za simu ya mke wako basi azisha kesi ya kumtuhumu anatoka nje ya ndoa.

kakaaaa...nothing is impossible under the sun....kama hilo ni kweli na tunakubaliana katika hilooo...jamaa akitaka kumjua mwizi wake inawezekanaaa...kwa njia halali au njia haramu...na mara nyingi watu smart hutafuta shortcut za kupata mahitaji ya kijasusi kama haya...jamaa simshauri kutafuta particulars za mwizi kama huyo kwa njia za kilokole..hapa kaka atumie umafia tuu..hapa ndipo nazipendea movie za godfathers...na wazeiya wa sicilly

jamaa aandae mpunga wa maana tutawasiliana na vijana wa It HAPO mic (t) ltd a.k.a TIGO....mara moja anakuwa na particulars zooote za jamaa yake mpaka anapoishi i.e. maeneo...maana wanaweza kutrace mnara/minara inayotumika mara kwa mara na simu yake..say yupo arusha..then wanalocate na maeneo anayokuwa mara kwa mara....pia wanaweza kutrace jina lake maana wanaweza pia kuulizia particularz zake na wanayo haki ya kuzipata...HAPA MJINI BWANA...

RAIS ALISEMA ukitaka kulaaaa....shurti nawe uliwe kidogoooo....
 
hivi mbona mie naona huyu mkaka anataka kutumia njia ngumu sana, mbona hambani huyo mkewe amwambie ukweli kama anahic anachezewa rough? hivi kwanini ackae akaongea na muhucka wake badala ya kukimbilia kampuni za cmu, unamuogopa au? mana cmuelewi kabisa jamaa.
 
mpigie huyo mtu namba si unayo unaangaika na jina la nn hapo ukipewa jina utaenda kuangalia kasoma wapi kisha anafanya wapi presha ya nn kama mkeo ana cheat malizana na mkeo au vipi mfatilie ukigundua mpige chini (talaka)
 
Back
Top Bottom