FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Hawatakiwi kutoa ila zinatoka tu kama unaijua vizuri bongo! Jamaa yangu alishapewa within minutes!
hahaha ila ni vyema ndani ya mahusiano kusiwepo na cheating tu..
Hawatakiwi kutoa ila zinatoka tu kama unaijua vizuri bongo! Jamaa yangu alishapewa within minutes!
hahaha ila ni vyema ndani ya mahusiano kusiwepo na cheating tu..
sitapenda kabisa kumjua mgoni wangu!....
sijapendezwa na jinsi mnavyolichukulkia hili suala. kama vile rahisi sana. nyie wote mnaosema aache upuuzi mna matatizo, tena si madogo. i can tell from what you have written. hamna uwezo wa kujibainisha (empathy) kujua huyu jamaa anahisi nini. mkeo kuliwa au mumeo kuiba nje kwenu. muelekezeni ni vipi anaweza kutatua tatizo lake na si kukejeli. hao wa makampuni ya simu mbona huwa wanatoa hhizp taarifa? be wise
AK wewe mchokozi sana. Unataka kuniingiza kwenye suala lenye utata kama hili. Hata hivyo umeshindwa kuona kuwa Babaa alishadokeza mapema kwamba huenda wote wawili wanacheza rafu. Kwa hiyo ajiangalie kwanza. Hata hivyo jaribu kumpa ushauri tu kuwa hakuna formula ya ku-handle issue ngumu kama hizi. To handle an emergency is an emergency as well.
unajua yule jamaa alisema kuwa haipaswi simu kuziacha freely accessible miongoni mwa wanadoa na ndio nikakumbuka thread yako ya juzi kuhusu sim, nikaona nikuchokoze kidogo utoe maoni yako.
otherwise, hiki kisa nacho naona kinaingia miongoni mwa visa vya hatari ya kuacha simu accessible kwa wanandoa, kumbuka anaweza kufa mrtu hapo! na simu itakuwa imechangia
otherwise, hiki kisa nacho naona kinaingia miongoni mwa visa vya hatari ya kuacha simu accessible kwa wanandoa, kumbuka anaweza kufa mrtu hapo! na simu itakuwa imechangia
na haya makampuni ya simu yakianza kutoa siri za wateja basi itabidi watu warudi kwenye zama za kati za mawe sijui walikuwa wanawasiliana kwa njia gani?
nenda kwa mganga uwaronge
Wewe ndiye uache upuuzi kwa kujibu upuuziMwambie aache upuuzi.
Jana nimepata email ya rafiki yangu anaomba ushauri wangu eti anamhisi mkewe anatembea nje ya ndoa.
Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama "taxi 3". Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.
Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?
Kama huwezi kuyaoga kwa nini uvue nguo? Waseja wapo wengi tu na pia tunaobudu dini ya "No cheating in marriage" tupo. Ni uamuzi wa mtu kuchagua dini ipi inamfaa. Pia kama unajua mwenzio ana-cheat au anaweza kuwa miongoni mwa cheaters lakini umeamua kumvumilia, basi jiwekee strict privacy rules/embargo kwenye vitu vyake kwa 100%. Kwa njia hiyo naamini huwezi kupata stroke au BP.
mkewe anatoka nje sababu kuna some detais amekosa huyo jamaa yako.
ajitahidi kumridhisha kama hawezi aache wenzake waendelee,
Mmmh ndoa hizi siku hizi mara number za simu ohh hanitoshelezi unyumba mwingine anaombwa Tigo, ahh wacha wengine tusubirie kwanza.
=Masikini_Jeuri;775625]Ndugu yangu si kweli hata kidogo! ni hulka mabayo mtu anaijenga na kuikubali na baadaye inakuwa tabia yake; kwetu sote waume na wake;
Nimeshudia waume watanashati wakiwa na wake wazuri tu; wapole na wenye sifa ya kuitwa mama bado wamewawaendea nje wake zao! Vivyo hivyo kwa mwanamke na mara nyingi unakuta mtu wa nje hafiki hata nusu ya ubora alionao mwenzi wa ndoa; ni mara chache ndio nimekuta kinyume na hapo!
Jana nimepata email ya rafiki yangu anaomba ushauri wangu eti anamhisi mkewe anatembea nje ya ndoa.
Anasema wao kwenye ndoa yao kila mtu ana uhuru wa kushika na hata kutumia simu ya mwenzie, katika kuperuzi siku moja akaona kuna mtu ameseviwa kama "taxi 3". Hakupata shida kwani alijua ni no ya taxi driver ili apigiwe ikitokea dharura. lakini aliposona call register aligundua kuwa tofaui na mategemeo kwamba mkewe ndoye angekuwa anapiga simu akihitaji taxi, akakuta huyu taxi 3 ndiye hupiga simu mara nyingi kwa mkewe.
Sasa baada ya uchunguzi, amegundua pasi na shaka kuwa huyo si taxi diver bali ni hawara wa mkewe! Ameamua kuwanyatia ili akiwapatia awafunze adabu. Alienda ofisi za tigo (no ya huyo tax3) wamsaidie kuangalia jina lililosajiliwa kwa hiyo no wakamkatalia eti wanaema hawawezi kumtajia jina ni siri. Sasa anaulza:
je, ni kweli makampuni ya simu hayawezi kumsaidia? kama yanaweza, afuate utaratiu gani?
Vipi akipeleka cheti cha ndoa kthibitisha ndoa yao bado watakataa?
Kwa ujumla ni utaratibu gani unapaswa kufuatwa ili haya makampun yatoe ushirikiano wa suala kama hili?
Sheria inawabana wenye makampuni ya simu kutoa detaills za matumizi ya simu ya mteja wao isipokuwa by police order or court order ni sawasawa na bank details za mtu.huwezi kupewa benki statement ya mke wako.
Hivi kama unataka kujua details za simu ya mke wako basi azisha kesi ya kumtuhumu anatoka nje ya ndoa.