Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini

Dakika tano imekua siku sheikhe vipi

Mbona nilishaweka picha ya hiyo sauna yake ilipo hapo juu?

haya nakuwekeeni tena....ukiingia ndani ya hilo jengo nenda mpaka mwisho kwenye kona utakuta SAUNA iliyojengwa kwa thamani ya zaidi ya dola laki 3

attachment.php
 
Kwa kuongeza tuu ni kuwa idara ya procuemnt muhimbili iko under TREMENDOUS presha wanunue rase na uniforms toka dula la Mariedo!
 
Katika sakata la malipo ya wazee wastaafu wa EAC iliyovinjika aulizwe alichomeka majina hewa mangapi yeye na Mramba.

huyu mama ni fisadi mkubwa, anatakiwa awe jela.
 
JF BRAVOO.......

Autopilot na haya je??

1. kuhamisha mashine ya kufanya scan toka muhimbili kupeleka hospitali binafsi ili apate chochote...

2. Kununua AC za mamillioni na kizifunga ktk mabanda ya 88 Dodoma mwaka jana.. karibu million 70

3. Kila mwezi anapata cheki ya Sh. Mil 10, toka Muhimbili National Hospital, fuatilieni muone yule Dr aliyehamishiwa mbeya kwa kukataa kutoa hizo pesa...

4. Ongezeni na ninyi nyingine.......

Nyingine ni:

DeoMtasiwa.jpg



Lakini kwa leo nita focus kwenye utendaji tuuuuuuu
 
Kwa kweli japo umeomba thread iachwe lakini ina hadhi kabisa ya kufutwa!, unaongea kama vile umekamatwa ugoni. huleti hoja ikaeleweka wala huoneshi ukweli wa kile unachokisema. Kwa wale wanaomfaham Blandina Nyoni utendaji wake wa kazi ni Kiongozi makini sana na ni mwepesi wa kusikiliza na kutoa uamuzi haraka na sahihi. Najua ujio wake wizara ya afya ulitokana na kutokuelewana kati yake na huyo Ludovic utouh katika hoja za ukaguzi. pia najua kwamba baada ya kuingia aliziba mianya mingi sana ya wizi wa fedha kupitia kule msd, kwenye tafiti feki za maralia na katika miradi mingi feki iliyokua ikifanyika kabla.

Sawa, huo unaweza kuwa ni mtamo wangu tu na jinsi nivyomfaham. Tuje katika hoja zako, Mama nyoni aliingiza mfumo wa ASYCUDA akiwa kama nani na alisababisha hasara au aliiba kiasi gani cha fedha?,

utaratibu wa manunuzi ya umma ni kwamba tenda zinatangazwa na makampuni yanaomba, sasa kama mariedo wanapewa halafu wakileta bidhaa zinakaguliwa na kuthibitishwa ni sawa, mariedo wana kosa gani?, huoni kama ni chuku binafsi za Utouh kuishambulia Mariedo wakati anajua watendaji walionunua?

Katika hoja ya tenda za chakula hujataja kampuni yake ni ipi na inafanya ufisadi gani. kwa ujumla naona we una chuki tu binafsi kwa sababu mama anafanya biashara zinenda vizuri na kazi zake pia au amegusa maslahi yako sehemu flani. Leta hoja tuijadili acha majungu.

Mama nyoni alikua mhasibu mkuu wa serikali kabla luhanjo hajawa katibu kiongozi, amekua na nyadhifa nyingi tu kabla luhanjo hajawa hapo alipo, sasa kutoka nae kijiji kimoja ndio hoja gani?. Jadili mtu kutokana na anafanya nini sio anatoka wapi?

Mwisho kama una ulilokua umelificha lilete hapa ili uzi wako uwe na maana, vinginevyo haya ni majungu tu!

Blandina Tuliza basi bususu hilo..walumendango wako kazini hapa ..aka "Men at Work"

 
Mwanzoni mwa mwaka jana wizara ilikuwa na kampeni ya kuhamasisha watu nchi nzima dhidi ya ugonjwa wa ukoma kupitia mabango ya barabarani.
Blandina akatoa zabuni hiyo kwa kampuni ya Jambo Concepts ya Juma Pinto ambaye ni mtu wake wa karibu. Cha ajabu ni kwamba hiyo haina bango lolote la barabarani na yeye anajua hivyo. Ilichofanya kampuni hiyo ni kwenda kutumia mabango ya kampuni zinazomiliki.
Huyo Tutafika anayemtetea kwamba eti huwa anafuata taratibu za manunuzi ya umma ana taarifa hii?
 


Sasa wakuu wa JF tunasema kuwa WE SPEAK OPENLY sasa naomba thread iachwe hapa tukate zote bila kuogopa kitu

Huyu mama ndiye aliyehusika na kuileta ile software ya ASYCUDA Tanzania ambako alichukua fungu kubwa sana za kamisheni toka serikalini
Yes huyu mama anaweza kuwa na ka-UFISADI lakini wekeni record straight

Sasa ebu tufafanule hiyo ASYCUDA ilianza lini mpaka iwe connected na huyu mama

Lakini kwa kumalizia tuu ni kuwa anatokea Iringa kwenye kijiji kimoja na aliyekuwa katibu mkuu kiongozi Ikulu bwana PHILEMON LUHANJO.......

Sijui lengo lako ni nini . Lakini hakuna connection ya huyu mama moja kwa moja na luhanjo sababu alishaanza kukamata vyeo hata abla luhanjo hajawa CS. alishakuwa na vyeo kibao kabla hata ya Luhanjo. uwa CS. so tuwekeni data zilikwenda shule sio kuunga unga mambo bila kuchambua .

Sasa kwa style hii JK akichagua mtu anaitwa Rashid tutasema kachaguliwa sabbau ni wa dini fulani hata kama mtu huyo anafaa.

So chambua perfomnce yake a ufisadi wake acha porojo
 
Kumbe ni mteule wa Luhanjo ndo maana ana kibri ya kuongea vile!

Yana mwisho hayo!

Yeye na Dr Deo Mtasiwa (Mganga Mkuu wa Wizara ya Afya, naye anatoka Iringa) ni wateule wa Luhanjo. Hawa wawili wamefanya ufisadi sana kwa mgongo wa Luhanjo
 
Katiba mpiya ni SASA kama sio sasa ni SASA HIVI.

Huu upuuzi wooooteeeee utaisha huu!!
 
Autopilot, fichuwa madudu. Wako wengi hawa, na hawa wachache wenye tamaa za kupitiliza ndio wanaifanya nchi isitawalike.

huwezzi amini, beki wa kushoto tena ni wa kutegemewa anajifunga goli hapa!!!! eeeehe, sisi tatu magamba yanalaumiana, jongo elezea ilikuwaje pale!!!!!!!!!!! namna gani tena pale.
 
Wakati mwingine unakuwa na point, sijui akili zako zikoje wewe FF. Yaani upo kama kinyonga vile anavobadili rangi.
Kwani humjui huyu?..ukweli huwa anauona kwa watu wenye majina fulani (6, EL, Mengi..). Ingekuwa Dewji, RA au Manji wanatuhumiwa, angekuja na pumba zake kama kawaida!
 
Kwa wenzetu wazungu inapotokea mtu anakuwa na kashfa nyingi kiasi kama hiki huwa anajiuzulu lakini sio tanzania, nia yangu sio kumwambia katibu wa afya ajiuzulu bali ni kupima yanayozungumzwa na kama yana ukweli inatakiwa achukue hatua kwa kukanusha hadharani au kukubali na kujiuzuru, hizi kashfa ni nyingi sana
 
Mwanzoni mwa mwaka jana wizara ilikuwa na kampeni ya kuhamasisha watu nchi nzima dhidi ya ugonjwa wa ukoma kupitia mabango ya barabarani.
Blandina akatoa zabuni hiyo kwa kampuni ya Jambo Concepts ya Juma Pinto ambaye ni mtu wake wa karibu. Cha ajabu ni kwamba hiyo haina bango lolote la barabarani na yeye anajua hivyo. Ilichofanya kampuni hiyo ni kwenda kutumia mabango ya kampuni zinazomiliki.
Huyo Tutafika anayemtetea kwamba eti huwa anafuata taratibu za manunuzi ya umma ana taarifa hii?

Juma Pinto ..yule aliyepata kuwa mwandishi kanjanja wa habari za michezo na baadaye enzi za mkapa akazamia kupiga box UK...ambako kwa ujanja ujanja na ubalozi ...kupitia shemeji yake [enzi hizo waziri wa nje]....akawa anaandaa andaa matamasha ya ubalozi au waatanzania
BAADA ya shemeji kuingia ..yeye alipewa tenda ya kuitangaza Tanzania UK...SO kama kuna tenda amepewa itakuwa ni kwa sauti toka juuuu.......au WAMA
 
lakini pia tusisahu kuwa:

Idara za procurements katika irada za wizara zote anazopita blandina huwa anakuwa influence ya ajabu

Mfano wizara ya Afya, wizara ambayo inatakiwa na matumizi makini ya fedha lakini huyu mama hakuona taabu kupitisha bajeti ya ya zaidi ya bilioni 6 kwa ajili ya maonyesho ya 77 na 88

Mfano mdogo mmoja ni STAFF UNIFORMS ambazo mama Nyoni alilazimisha wizra ya afya kuwanunulia washiriki wapatao 1,000 suti jozi 6,ambazo thamani yake ni BILIONI 3..................!

GUESS WHO SUPPLIES HIZO NGUO?

Yap you guessed it.......ni lile dula la MARIEDO BOUTIQUE ambao wao wanachokifanya ni kununua nguo kutoka China lakini wanaandika lebo za UK.

Jiulizeni kwa nini Mariedo hawakuwahi ku supply suti BENKI KUUU enzi za LIUMBA?


Sasa kumbukeni kuwa hizo BILIONI 3 zingenunua vitanda vingapi kwenye hospitali za wilaya ngapi Tanzania?

jibu ni rahisi.....tungeweza kununua vitanda 3,000 kwa bei ya shilingi 1,000 kwa kila kitanda! shemeji,wifi,wake ,mama,shangazi zetu wasingekuwa wanajifungulia chini sakafuni kama ilivyo sana lakini Blandina hayo yooote kwake sio muhimu...muhim MARIEDO wapewe tenda za staff Uniforms!

btw

I just wanna point out kuwa duka la huyu mama la Mariedo pamoja na kusupply vitu FEKI lakini pia tazameni mikataba yake ni endelevu kwenye kila idara ya serikali so unakuta Mariedo lina contract ya miaka mpaka 3 hata kama wanaleta bidhaa ambazo ni hafifu!

Now Mzee Luhanjo hayupo tena na as it is MTOTO WA MKULIMA hawezi kuendelea kumlinda huyu mama....at some point itabidi ajiuzulu nyadhifa zote inluding kule WAMA ambako aliingizwa na PHILEMON LUHANJO.................!

In short waingereza wanasema kuwa HER POSITION IS UNTENABLE

Duh umenifungua sana mkuu! kuna suti alikuwa anagawa yeye mwenyewe nanenae pale DOM kumbe alikuwa anafanya biashara yake?
wafanyakazi walikuwa wanachekelea bila kujiuliza priority ya kununua suti dhidi ya huduma kwa wananchi imekuwaje?
Lakini vipi hivi siku hizi usalama wa taifa hakuna? inawezekanaje ufisadi unafanyika kirahisi namna hii wanaogundua ni raia? usalama wa taifa wanalipwa kwa kazi gani?.
Naomba wabunge wa CDM mtuulizie hili wakti wa bajeti inayotengwa kwa ajili ya usalama wa taifa. Nakumbuka John Mnyika aliwasumbua sana bajeti iliyopita lakini Chikawe akakataa kutolea ufafanuzi - Sasa tuna ushahidi wa kutosha kuwa hakuna haja ya kuwa na usalama wa taifa maana, EPA hawakuiona, Jairo hawakumuona , Twiga wetu KIA hawakuwaona, Deepgreen hola, RICHMOND/DOWANS hola, meremeta hola.... sasa hawa wanafanya kazi gani? kuzuia maandamano ya CDM?
 
Back
Top Bottom