Wana JF, Vodacom wanavuna walichotaka kwa kumteua binti makamba ashike wadhifa muhimu (critical) kama ule wa kuuunganiusha kampuni na jamii.
Hulka yake (binti) inaonyesha hana uelewa, mapenzi wala uungwana na jamii ya watanzania ambao ndio wanamlipa mshahara na marupu rupu mengi yeye na wafanayakazi wenzake na wanahisa wa vodacom. Anajali kuonekana katika luninga tu ili azidi (kwa fikra zake pottofu) kungara na kupanda chati duniani.
Kwa mbali namuonea huruma huyo bosi mpya wa Vodacom!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.