analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Hi JF members!
Nimeanzisha private invastigative firm. Firm hii, inajihusisha zaidi ktk kuwa trace love cheaters na kukolect ushahidi wote, na kisha tunamtafuta mwenza anayekuwa cheated, tunampa options zifuatazo:
1. Atoe kamchango kidogo then tunamkabidhi ushahidi wote tulionao dhidi ya mwenza wake
2. Anatoa advance kidogo kwa ajili ya kuorganise fumanizi ambalo mwenzi wake hatakuwa na namna ya kubisha.
Lengo la hii firm ni
1. Kupunguza kiwango kama si kukomesha udanganyifu wa wapenzi kwenye ndoa
2. Kushusha maambukizi ya ukimwi yaliyojikita kwa watu walio kwenye ndoa ambayo mengi hutokana na kukosekana kwa uaminifu kwenye ndoa
3. kuhakikisha kuwa jamii inazingatia maagizo ya maandiko matakatifu ya kutozini.
4. Kuhakikisha kuwa familia zinakuwa imara na kutoa malezi bora kwa watoto kisha kujenga jamii iliyobora, vitu ambavyo huharibiwa na mifarakano itokanayo na udanganyifu kwenye ndoa.
NINAOMBA USHIRIKIANO WENU WANA JF!!
Regards,
Detective Analysti!!
Nimeanzisha private invastigative firm. Firm hii, inajihusisha zaidi ktk kuwa trace love cheaters na kukolect ushahidi wote, na kisha tunamtafuta mwenza anayekuwa cheated, tunampa options zifuatazo:
1. Atoe kamchango kidogo then tunamkabidhi ushahidi wote tulionao dhidi ya mwenza wake
2. Anatoa advance kidogo kwa ajili ya kuorganise fumanizi ambalo mwenzi wake hatakuwa na namna ya kubisha.
Lengo la hii firm ni
1. Kupunguza kiwango kama si kukomesha udanganyifu wa wapenzi kwenye ndoa
2. Kushusha maambukizi ya ukimwi yaliyojikita kwa watu walio kwenye ndoa ambayo mengi hutokana na kukosekana kwa uaminifu kwenye ndoa
3. kuhakikisha kuwa jamii inazingatia maagizo ya maandiko matakatifu ya kutozini.
4. Kuhakikisha kuwa familia zinakuwa imara na kutoa malezi bora kwa watoto kisha kujenga jamii iliyobora, vitu ambavyo huharibiwa na mifarakano itokanayo na udanganyifu kwenye ndoa.
NINAOMBA USHIRIKIANO WENU WANA JF!!
Regards,
Detective Analysti!!