whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,426
Je ni haki kwa mfanyakazi yoyote kufanya kazi kama kibarua kwa zaidi ya miezi 12?
Je ni haki kwa mfanyakazi huyo huyo kufutiwa mkataba bila kupewa sababu?
Je ni haki kwa mfanyakazi kuendelea kufanya kazi bila mkataba kwa wiki moja nzima baada ya mkataba wake kuisha.
Naomba msaaba wa majibu haya wana JF wenzangu mliobobea katika tasnia hii ya sheria kampuni ya kigeni inatunyanyasa sana ndani ya nchi yetu.
Je ni haki kwa mfanyakazi huyo huyo kufutiwa mkataba bila kupewa sababu?
Je ni haki kwa mfanyakazi kuendelea kufanya kazi bila mkataba kwa wiki moja nzima baada ya mkataba wake kuisha.
Naomba msaaba wa majibu haya wana JF wenzangu mliobobea katika tasnia hii ya sheria kampuni ya kigeni inatunyanyasa sana ndani ya nchi yetu.