Hiki ni kijaluo na maana yake ni kwamba "panda twende".
<br />Jana katika pitapita zangu nimekutana na staff bus yenye maandishi yafuatayo.<br />
"RIJK ZWAAN Q-SEM"<br />
ukibadilisha hayo maandishi yasomeke<br />
"JK RIZWAAN Q-SEM" basi unaweza kuhisi hii kampuni inamilikiwa na Jk na riziwani.<br />
Tafakari njema wakuu....!
Jana katika pitapita zangu nimekutana na staff bus yenye maandishi yafuatayo.
"RIJK ZWAAN Q-SEM"
ukibadilisha hayo maandishi yasomeke
"JK RIZWAAN Q-SEM" basi unaweza kuhisi hii kampuni inamilikiwa na Jk na riziwani.
Tafakari njema wakuu....!
kwani kujua mali za viongozi wetu ni vibaya?Sasa kama ni kampuni inayomilikiwa na Jk, wewe kilichokusibu hata hii topic uilete jamvini ni nini? RIJK ni watu sawa na wengine k.v. Bakheresa, Manji, Mengi n.k. kumiliki kitu kama hicho kisiwe ajabu kwao.
Sasa kama ni kampuni inayomilikiwa na Jk, wewe kilichokusibu hata hii topic uilete jamvini ni nini? RIJK ni watu sawa na wengine k.v. Bakheresa, Manji, Mengi n.k. kumiliki kitu kama hicho kisiwe ajabu kwao.
<br />Madhara ya kuumwa na nyoka ndio haya,hata ukiguswa na jani utahisi ni nyoka.
Japo nadhani sio maala pake,RZ 1 ALIWAHI KUNEGOTIATE KUNUNUA MIGODI HUKO USHIROMBO BUKOMBE,ALIKUWA HUKO MWEZI WA KUMI 2010 KWA KISINGIZIO CHA UCHAGUZI NA ALIFANYA MAJADIRIANO NA WAFANYABIASHARA KADHAA NAMNA YA KUMILIKI MIGODI YA KELESIA ETC,WADAU MILO HUKO TUJUZE KAMA TAYARI KAWEKEZA KWENYE GOLDJana katika pitapita zangu nimekutana na staff bus yenye maandishi yafuatayo.
"RIJK ZWAAN Q-SEM"
ukibadilisha hayo maandishi yasomeke
"JK RIZWAAN Q-SEM" basi unaweza kuhisi hii kampuni inamilikiwa na Jk na riziwani.
Tafakari njema wakuu....!
RIZ1 ana miliki supermarket za TSN si unaona zinavyoibuka kama uyoga bamaga,masaki,upanga,mikocheni na tegeta wakati SHOPRITE wanazifunga kwa hasara