Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu, naomba kujua kama temporary jobs kwa non professionals like form six leavers and undergraduates who are in college.
Ahsante mkuu kesho nakuja na Cv yangu.
jamani wadau mie nimetuma na majibu yote juu ya kitakachojiri nitaleta hapa maana tangu mwanzo tunawatupia madongo na hakuna anayesema aliitwa na akaambiwa tofauti,mie ngoja niende huenda ndio bahati yangu
Kampuni kubwa na ya kimataifa? who are you kidding? kampuni iwe ya kimataifa na wanatumia gmail accounts? Mimi sijui kama hii kampuni ni fake au sio fake, nisilokubaliana nalo ni kujipachika ufahari wa kimataifa ilhali haijulikana kokote?
Kalagabaho mi nimetapeliwa na wanaweka hadi fake website na link.
Acha kukurupuka ka umetoka usingizini wewe, soma mfululizo wa muda wa posts kisha jaribu tumia akili ya kawaida CV imesomwa at what time, na maongezi ya cm muda upi na hata kupata muda wa Ku-aknowledge kupitia JF in a minute.....
MPUMBAVU NDIE MPUMBAVU
Mkuu patakazi nakushukuru sana ,na mimi nilianza kuoata mashaka kuwa mbona umetutupa hapa au umebanwa nini kwa kweli leo nimefurahi kwa kuwa umekuja hapa kama nilivyokushauri na umewajibu wadau vizuri sana.
Kwanza nimefurahishwa na uwezo wako wa kupambanua mambo,niliposoma majibu yako kwa wadau hapa nimegundua kuwa wengi waliochangia mada hii umewapita kwa uwezo wa kufikiri mbali sana,wengi walioponda hapa ni wajinga kweli na majibu uliyowapa haki ya nani umewaacha uchi huko waliko wanaona aibu kuu.
Mkuu nikuombe tena usiache kuja hapa kukanusha na kutoa ufafanuzi kwa lolote litakaloletwa hii ni forum yako
mwisho niwaambie wadau mimi sitafuti kazi ,nimejiajiri na ninapata kipato cha kutosha siihitaji kazi ila nawapenda na kuwaunga mkono watanzania wote wanaojitahidi kuwakomboa wenzao
wanafki watakufa na unafki wao,wachapakazi watasonga mbele daima
Naona unabipu FAYA wewe 'Amaru Dongo', kwa hiyo wewe ndio unajifanya una akili saaana kuliko mimi Mndengereko?
Mimi naona wewe ndio unajidhalilisha, tena bila huruma na kama umetumwa nenda kawaambie uliowatuma kuwa umekutana na Mndengereko pekee mwenye kujua kutumia Kompyuta ipasavyo kiasi kwamba haoni shida 'kutaipu' siku nzima, huna adabu!
Recruiters Associates wakatumie akaunti ya GOOGLE (Kweli akili nzuri ukiwa nayo)
Je vipi kuhusu huu mchezo, wewe unauelewa umewezekanaje; Suzan (Feki, ambaye ni mmoja wenu) katuma ujumbe 16:52hrs na baada tu ya dakika 1, yaani 16:53 amepost comment nyingine kuwashukuru na kuwaaga baada ya kuongea nao kwenye simu. Hebu nieleze nini kitakuwa kimeongelewa ndani ya dakika moja na Suzan huyo huyo aweze kupost (ndani ya dakika hiyo hiyo) acknowledgements hapa JF kama sio usanii wa kitoto?
Hata muuza maboga wa Rufiji humdanganyi namna hii. Mnataka kuiba huku hamjasoma, wizi wa namna hiyo hata watani zangu wamakonde na uzembe wao huwaibii, labda Wanyamwezi wa Igunga, kwenda zako hapa.
Kama wanatoa 'skola sheep' waombe wakupe moja ya kwenda kusomea utapeli Nigeria other wise mtajapigwa mtaani siku moja na wizi wa kitoto huu. Ah, nilitaka kusahau...PERIOD!
NAKUSHUKURU NDUGU YANGU DONGI DONGI AMARI KWA MISIFA ULIYONIPA NAMI NAIPOKEA KWA MIKONO MIWILI KWANI NAJUA NASTAHILI SANA AHSANTE SANA NA KAMA KUNA KINYAMKERA ANATAKA KUBISHA BASI AJE TUMUUMBUE
NAPENDA KUTAMBUA KUWA JF NI UWANJA MPANA NA UMETUKUKA,WAKATI NAPOST TANGAZO LANGU HAPA NILIKUWA KAMA MAILI 9000 NEVADA MO,LAKINI MWENDELEZO ULIOPO NAUKUBALI NA NIMEFURAHISHWA SANA NA MAJIBU YA WADAU JAPO WENGI WANAPONDA NAFIKIRI NI KWA KUWA WAMEWAHI KUTENDWA SINA SHIDA NAO ILA KWA UHAKIKA WAJE TUWAHUDUMIE
NAKUSHUKURU SANA MKUU AMARI,NAAMINI WIKEND HIII HAPA NAMAANISHA HIII IJAYO BAADA YA KESHO TUTAKUWA PAMOJA MAENEO YETU YA ZAMANI ZILEEEEEEEE
HAHAHA
WANA jf KARIBUNI TUWAHUDUMIE
UNAJIDHALILISHA TUUU KILA KITU KINAKOSEA HAPA DUNIANI WEWE MWENYEWE UMEKOSEA KWA KUTUKANA HAPA IWE MTANDAO??
UPUMBAVU WAKO NDIO UNAOKUSABABISHIA UMASKINI ULIONAO
tuma CV yako tukupe kazi upate hela ukasome usafishe ubongo KUNGURU WA FERI""
Halafu Ndugu Wakala unaonekana una jazba chalii yangu, nini mbaya. Kama vipi GO HAVE SEX (Wapi Erotica akupe ushauri na SAA).
Kwa hiyo, kutokana na maelezo yako, unataka kuniambia saa ya JF ilikosea pia kunukuu muda wa post 2 alizotuma msanii Suzan Minja? (16:52 na 16:53)
Kumbe mnafahamiana ktk kupigiana debe!
Mimi swali langu nalirudisha kwenye Intellijensia ya Mkuu Mwana Mtoka Pabaya (ambaye mmemfanyia fitina kapigwa BAN, Mungu amlaze mahali pepa peponi). Imewezekanaje Suzan Minja afanye yooote yale ndani ya dkk moja kama si usanii wako na hawa vibaraka wako wa kuwa na ID nyingi na kujifanyisha amehudumiwa?
16:52 anauliza kazi gani mnazo na utaratibu wenu ukoje
16:53 ameshapiga simu kapata maelezo na appointment na tayari ameshatuma post JF kushukuru. Hivi nyinyi mnadhani watu hapa ni malimbukeni na wakurupukaji kama nyie wenyewe au?
Mwana Mtoka Pabaya, RIP chalii yangu, MODS wakikuachia tuendelee kukamua