Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Acha kudakia kitu usichokijua kimeanzia wapi. Jaribu wakati mwingine kuwa unashirikisha ubungo wako wa mbele kabla ya kujibu post. Nimejibu hii post hapa ya FF
Sijasema hatuendele kwasababu ya kiingereza, bali hatuendelei kutokana na kuwa wabunge vilaza kama huyu. Aibu tupu!! Eti mtu kama huyu ni mwakilishi!!
Rejao wewe ni Tahira, Sugu mbumbumbu wapi na wapi?