Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,063
- 22,755
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA), Profesa John Nkoma (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Kampuni mpya ya simu ya Mycell, Bw. Yusuph Manji leseni ya biashara katika hafla iliyofanyika, Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia ni Ofisa Mawasiliano wa TCRA, Bw. Victor Nkya.
Je, ni huyu kijana mdogo ndiye anaitikisa serikali ya Tanzania ama mwingine ? Je, ni huyu ndiye mfadhili mkuu wa Yanga ? Je ni huyu kweli ? Kweli pesa kiboko.