Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Tukio la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo huko songea ni la kusikitisha,
Walinzi wawili wa kampuni binfsi ya ulinzi wamevamiwa na majambazi wakiwa wamelala na kupiga na nondo kichwani na kufariki hapo hapo,
Majambazi hayo baada ya kufanya unyama huo yaliingia kwenye ofisi za posta na kuiba sh, 12,000/= tu.
Meneja wa posta leo asubuhi amewakuta wakiwa wamefariki hao walinzi na pembeni mwao pakiwa na virungu vyao.
Swali ni hili, inakuwaje wanalinda jengo kubwa hili wakiwa na virungu? na wakati huo wanazuia majambazi?
Walinzi wawili wa kampuni binfsi ya ulinzi wamevamiwa na majambazi wakiwa wamelala na kupiga na nondo kichwani na kufariki hapo hapo,
Majambazi hayo baada ya kufanya unyama huo yaliingia kwenye ofisi za posta na kuiba sh, 12,000/= tu.
Meneja wa posta leo asubuhi amewakuta wakiwa wamefariki hao walinzi na pembeni mwao pakiwa na virungu vyao.
Swali ni hili, inakuwaje wanalinda jengo kubwa hili wakiwa na virungu? na wakati huo wanazuia majambazi?