Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
We msukuma acha ukorofi
We binti hebu tulia bana.
Wewe unaona ni sawa kumpigia mahesabu ya kuvutia mtonyo mtoto ambaye hajazaliwa?
Whoever broached that idea needs to be shot in the ass.
We msukuma acha ukorofi
Si bora hata alishike yeye hadi wengine wanapewa kulishika sijui huku mtaani kwetu zamu yetu kulishika ni lini
View attachment 321307 View attachment 321308
Heeee mwezi wa nne ndo anajifungua? Mbona mimba imekaa muda mfupi kama ya mbuzi?wiki ijayo ndio zamu y mtaa wenu....drama zitaisha mda mfupi mwez wa 4 c mbali yetu macho
Leaves me wondering where is our society heading to, that is a bastard child!! Gets all centre of attention?? What are we teaching our kids... It's okay to get banged outside of marriage get as many bastard kids as you can. Fill this great country with bastard kids!
Slither your ass and join the league of wild beasts.Woooow Mr.perfect,don't you know that even bastard kids come to existence via sex and guess ts not their fault that they were born....you didn't choose to be born the way you are so,who are you to judge ??..
Hivi unajua watu wangapi wamezaliwa out of wedlock and yet they employ lazy mind and bones like you..stop the hate..you can insult and blame wema as much as you can because of her irresponsibility but doing the same to the kids who have never wronged you is totally wrong...
Slither your ass and join the league of wild beasts.
Hahaaaaa...Hilo suala la mtoto kuwa kivutio limeniboa.
Mtoto atakuwaje kivutio? Tena kitoto kichanga [kama ni kweli huyo Wema ana mimba au la], watu bila simile wanakaa na kuanza kupiga mahesabu yao ya kuvuta mtonyo?
Hiyo ni akili au matope? Ndo maana nikasema kama atakuwa kivutio basi na wampeleke zoo huko ili TRA nao wachukue chao wasaidie katika pato la taifa.
Ila wazo zima tu la mtoto kuwa kivutio linatia kinyaa bana.
Utuwache na unyumbu wetu.Muda mwingine mashabiki wa Wema huwa nawafananisha na wa Alikiba!
Shigongo, Global Publishers LtdChanzo: GPL
Hahaaaaa...
Nkwingwa umeyaamini maneno ya GPL?...
Hawa GPL ni wa hovyo sana...Wanaweza kuandika chochote kile kwa ajili ya kuuza gazeti...
Nakumbuka hata kipindi Zari ana mimba walikuwa wanaandika habari za namna hii...
Makampuni matatu ya dhamini nini MDOLI? !!!!!!Mie hata mimba sijaiona bado nasikia tu ana mimba
Labda kampuni zile mbili za Idris na endless piaMakampuni matatu ya dhamini nini MDOLI? !!!!!!
Maybe ila kwa mtoto gani? hivi ina aminika kuna kiumbe kweli pale au ndio katika zile soap opera zake, mdada kauli zake ktk mia pokea moja.Labda kampuni zile mbili za Idris na endless pia
YUKO WAPI? WAKIKE/WAKIUME.Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema
- February 3, 2016
Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu.
Chanzo cha uhakika kilicho karibu na staa huyo, kimesema kampuni hizo ambazo hakuzitaja kwa kushindwa kukariri majina yake, zimeshafanya mazungumzo ya awali na Wema, kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa.
“Hivi ninavyokuambia licha ya kampuni hizo, tayari wengine wamejitokeza na kudai watamvalisha kwa muda wa mwaka mzima mtoto huyo,” kilisema chanzo hicho.
Gazeti hili lilimtafuta muigizaji huyo na kuulizia juu ya ishu hiyo, ambapo alicheka na kudai hayuko katika nafasi nzuri kwa muda huo ili kuzungumzia suala hilo hadi hapo baadaye.
“Kwa sasa ni mapema mno kuzungumzia hilo jambo, nitaweka wazi baadaye,” alisema Wema
Chanzo: GPL
Halafu kampuni hizo eti mtu ameshindwa 'kukariri' majina yake. Hizo ni kampuni kweli?Promo za kijinga,wema tulia uzae kwanza je ukizaa fenesi? Usitake kushindana na zari kwenye kuzaa kuna kifafa,kupoteza damu au hata kufa.
Wema tulia kwanza uzae salama