Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema

Leaves me wondering where is our society heading to, that is a bastard child!! Gets all centre of attention?? What are we teaching our kids... It's okay to get banged outside of marriage get as many bastard kids as you can. Fill this great country with bastard kids!

Woooow Mr.perfect,don't you know that even bastard kids come to existence via sex and guess ts not their fault that they were born....you didn't choose to be born the way you are so,who are you to judge ??..

Hivi unajua watu wangapi wamezaliwa out of wedlock and yet they employ lazy mind and bones like you..stop the hate..you can insult and blame wema as much as you can because of her irresponsibility but doing the same to the kids who have never wronged you is totally wrong...
 
Siku Wema Atakapojitokeza na Kusema Mimba Imetoka nadhani kuna baadhi ya wanachama humu watabadili ID zao
 
Woooow Mr.perfect,don't you know that even bastard kids come to existence via sex and guess ts not their fault that they were born....you didn't choose to be born the way you are so,who are you to judge ??..

Hivi unajua watu wangapi wamezaliwa out of wedlock and yet they employ lazy mind and bones like you..stop the hate..you can insult and blame wema as much as you can because of her irresponsibility but doing the same to the kids who have never wronged you is totally wrong...
Slither your ass and join the league of wild beasts.
 
Hilo suala la mtoto kuwa kivutio limeniboa.

Mtoto atakuwaje kivutio? Tena kitoto kichanga [kama ni kweli huyo Wema ana mimba au la], watu bila simile wanakaa na kuanza kupiga mahesabu yao ya kuvuta mtonyo?

Hiyo ni akili au matope? Ndo maana nikasema kama atakuwa kivutio basi na wampeleke zoo huko ili TRA nao wachukue chao wasaidie katika pato la taifa.

Ila wazo zima tu la mtoto kuwa kivutio linatia kinyaa bana.
Hahaaaaa...

Nkwingwa umeyaamini maneno ya GPL?...

Hawa GPL ni wa hovyo sana...Wanaweza kuandika chochote kile kwa ajili ya kuuza gazeti...

Nakumbuka hata kipindi Zari ana mimba walikuwa wanaandika habari za namna hii...
 
Kwani wema mwenyewe kasemaje kuhusu huyo mtoto?
Kama mwenyewe hajasema watu wana uhakika gani kama habari hii ni ya kweli na si uzushi mwingine wa GPL or whatever...
 
Hahaaaaa...

Nkwingwa umeyaamini maneno ya GPL?...

Hawa GPL ni wa hovyo sana...Wanaweza kuandika chochote kile kwa ajili ya kuuza gazeti...

Nakumbuka hata kipindi Zari ana mimba walikuwa wanaandika habari za namna hii...

Hapana Nkwingwa.

Sijayaamini mazima hayo maneno ya GPL.

Najua fika kuwa hao jamaa wakati mwingine huwa si chanzo cha habari za kuaminika.

Hawana tofauti na Mediatakeout.com, Bossip.com, Daily Mirror, na wengineo.

Ila, ninachokishambulia mimi ni hilo wazo la mtoto kuwa kivutio.

Na ndiyo maana hata ukirudia kusoma mabandiko yangu yote kwenye huu uzi hakuna sehemu ambapo nimemshambulia huyo binti na huyo mwenzake.

Inabidi kusoma kwa umakini ili kuona kuwa hata sikutaja mtu mahsusi [zaidi ya kudokeza kama ni kweli Wema ana mimba au la kwa sababu hata yeye si chanzo cha kuaminika, rejea nyumba yake ya milioni 400].

Nimeshambulia tu dhana nzima ya mtoto kuwa kivutio. Mbaya zaidi, mtoto ambaye hata hajazaliwa bado.

Nalaani mtu yeyote yule anayemtumia mtoto, tena mchanga, kujinufaisha kifedha.

Naamini kuwa mtoto yeyote yule naye anastahili faragha na nafasi yake ya kuwa mtoto.

Mambo ya mtoto mchanga kuwa kivutio kwangu hayaingii akilini kabisa.
 
Kampuni 3 Zamtaka Mtoto wa Wema
  • February 3, 2016


Kampuni tatu zimejitokeza kutaka kumtumia kibiashara mtoto atakayezaliwa baada ya staa wa filamu Wema Sepetu kujifungua baadaye mwaka huu.

Chanzo cha uhakika kilicho karibu na staa huyo, kimesema kampuni hizo ambazo hakuzitaja kwa kushindwa kukariri majina yake, zimeshafanya mazungumzo ya awali na Wema, kwani wanaamini mtoto huyo atakuwa kivutio kikubwa.

“Hivi ninavyokuambia licha ya kampuni hizo, tayari wengine wamejitokeza na kudai watamvalisha kwa muda wa mwaka mzima mtoto huyo,” kilisema chanzo hicho.

Gazeti hili lilimtafuta muigizaji huyo na kuulizia juu ya ishu hiyo, ambapo alicheka na kudai hayuko katika nafasi nzuri kwa muda huo ili kuzungumzia suala hilo hadi hapo baadaye.
“Kwa sasa ni mapema mno kuzungumzia hilo jambo, nitaweka wazi baadaye,” alisema Wema

Chanzo: GPL
YUKO WAPI? WAKIKE/WAKIUME.
 
Promo za kijinga,wema tulia uzae kwanza je ukizaa fenesi? Usitake kushindana na zari kwenye kuzaa kuna kifafa,kupoteza damu au hata kufa.
Wema tulia kwanza uzae salama
Halafu kampuni hizo eti mtu ameshindwa 'kukariri' majina yake. Hizo ni kampuni kweli?
 
Back
Top Bottom