LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,168
Imekuwa kawaida sana sasa hivi mtu ukimpigia simu yake mara haipati kan,sijui huna salio la kutosha hivyo ongeza kwanza fedha na mwisho kabisa unampigia mtu sim unakuta kabla haija anza kuita inakata.
Kiukweli kwa hiyo hali ya mwisho kampun ya tigo isilaumiwe kabisaa kwani now watu wamegeuza kama fashion kama anadaiwa au ni mke/mme wa mtu au mtu yoyote yule wanapiga namba *35*0000# ukipigiwa sim haipatikan kamwe na baadae wakiulizwa hung'aka na haraka haraka huitupia mzigo kampun ya tigo kuwa imekuwa kimeo kumbe ni wao kwa lengo lao binafsi ndio wamefanya hivyo.
Msidanganyike kabisa kwa hali hiyo mwisho yakutopatikana kwa simu ujue umechezew uhuni na ukanyanja.
Kiukweli kwa hiyo hali ya mwisho kampun ya tigo isilaumiwe kabisaa kwani now watu wamegeuza kama fashion kama anadaiwa au ni mke/mme wa mtu au mtu yoyote yule wanapiga namba *35*0000# ukipigiwa sim haipatikan kamwe na baadae wakiulizwa hung'aka na haraka haraka huitupia mzigo kampun ya tigo kuwa imekuwa kimeo kumbe ni wao kwa lengo lao binafsi ndio wamefanya hivyo.
Msidanganyike kabisa kwa hali hiyo mwisho yakutopatikana kwa simu ujue umechezew uhuni na ukanyanja.