Kampun ya TIGO yachafuliwa na namba *35*0000#

LEGE

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
5,123
9,168
Imekuwa kawaida sana sasa hivi mtu ukimpigia simu yake mara haipati kan,sijui huna salio la kutosha hivyo ongeza kwanza fedha na mwisho kabisa unampigia mtu sim unakuta kabla haija anza kuita inakata.
Kiukweli kwa hiyo hali ya mwisho kampun ya tigo isilaumiwe kabisaa kwani now watu wamegeuza kama fashion kama anadaiwa au ni mke/mme wa mtu au mtu yoyote yule wanapiga namba *35*0000# ukipigiwa sim haipatikan kamwe na baadae wakiulizwa hung'aka na haraka haraka huitupia mzigo kampun ya tigo kuwa imekuwa kimeo kumbe ni wao kwa lengo lao binafsi ndio wamefanya hivyo.

Msidanganyike kabisa kwa hali hiyo mwisho yakutopatikana kwa simu ujue umechezew uhuni na ukanyanja.
 
Imekuwa kawaida sana sasa hivi mtu ukimpigia simu yake mara haipati kan,sijui huna salio la kutosha hivyo ongeza kwanza fedha na mwisho kabisa unampigia mtu sim unakuta kabla haija anza kuita inakata.
Kiukweli kwa hiyo hali ya mwisho kampun ya tigo isilaumiwe kabisaa kwani now watu wamegeuza kama fashion kama anadaiwa au ni mke/mme wa mtu au mtu yoyote yule wanapiga namba *35*0000# ukipigiwa sim haipatikan kamwe na baadae wakiulizwa hung'aka na haraka haraka huitupia mzigo kampun ya tigo kuwa imekuwa kimeo kumbe ni wao kwa lengo lao binafsi ndio wamefanya hivyo.

Msidanganyike kabisa kwa hali hiyo mwisho yakutopatikana kwa simu ujue umechezew uhuni na ukanyanja.

ulicho sema ni kweli kabisa huwa inauzi saana kama unamtafuta mtu alafu kagonga hizo namba.
 
Kaka kihelehele changu nimepiga hy number afu imeniandikia barring call has been activated, naomba msaada ntaondoaje?
 
Imekuwa kawaida sana sasa hivi mtu ukimpigia simu yake mara haipati kan,sijui huna salio la kutosha hivyo ongeza kwanza fedha na mwisho kabisa unampigia mtu sim unakuta kabla haija anza kuita inakata.
Kiukweli kwa hiyo hali ya mwisho kampun ya tigo isilaumiwe kabisaa kwani now watu wamegeuza kama fashion kama anadaiwa au ni mke/mme wa mtu au mtu yoyote yule wanapiga namba *35*0000# ukipigiwa sim haipatikan kamwe na baadae wakiulizwa hung'aka na haraka haraka huitupia mzigo kampun ya tigo kuwa imekuwa kimeo kumbe ni wao kwa lengo lao binafsi ndio wamefanya hivyo.

Msidanganyike kabisa kwa hali hiyo mwisho yakutopatikana kwa simu ujue umechezew uhuni na ukanyanja.
kuna siku tigo ilishawahi kuwa safi
 
Imekuwa kawaida sana sasa hivi mtu ukimpigia simu yake mara haipati kan,sijui huna salio la kutosha hivyo ongeza kwanza fedha na mwisho kabisa unampigia mtu sim unakuta kabla haija anza kuita inakata.
Kiukweli kwa hiyo hali ya mwisho kampun ya tigo isilaumiwe kabisaa kwani now watu wamegeuza kama fashion kama anadaiwa au ni mke/mme wa mtu au mtu yoyote yule wanapiga namba *35*0000# ukipigiwa sim haipatikan kamwe na baadae wakiulizwa hung'aka na haraka haraka huitupia mzigo kampun ya tigo kuwa imekuwa kimeo kumbe ni wao kwa lengo lao binafsi ndio wamefanya hivyo.

Msidanganyike kabisa kwa hali hiyo mwisho yakutopatikana kwa simu ujue umechezew uhuni na ukanyanja.

Jamani tuache kuichafua tigo. Mitandao yote inakubali kufanya hii kitu. Sema voda wao, ukishafanya call barring, mtu akikupigia unapata ujumbe huu, " Asante kwa kutumia mtandao wa Vodacom, huduma kwa mteja unaempigia zimezuiwa kwa muda, tafadhali tumia huduma mbadala kumfikia mteja huyu, or services to the person you are calling has been temporarily barred please use another alternative to reach that person"
Hii huduma si mbaya, na wala haina tatizo, kwani hata isipokuwepo, mtu huyu anaweza kuizima simu na isipatikane vilevile. Heko tigo na mitandao mingine mnao support hii huduma.
 
Back
Top Bottom