kwa hiyo cuf wametoweka ghafla?
na bado kwa vile maalimseif alishakiua chama kwa kujiunganisha na ccm kwa hiyo hakuna cuf tena kilichobaki ni historia tu
kwa hiyo cuf wametoweka ghafla?
Usiwadanganye watu huo ni uongo chadema huku z'bar hakuna wanachama na hasa vijijini na hao wanao kwenda mikutanoni kutoka huko tanganyika uctafute sababu kusema kaibiwa kura kuhusu z'bar mzidi kujipanga bado sana na sifikirii
kuna watu inawashangaza sana kwa nguvu ya CUF kupungua ZNZ lakini ndio ukweli wenyewe na mwelekeo wa kampeni unavyoenda jamii itashangazwa na matokeo ya huko.
kila ukipita kwenye kampeni za CUF mambo mengi wanayozungumza wanachama wake ni seif sharifu ameua chama cha CUF.
Daima muda ni hakimu mzuri ...siku ya kupiga kura na matokeo inaelekea
kuna watu inawashangaza sana kwa nguvu ya CUF kupungua ZNZ lakini ndio ukweli wenyewe na mwelekeo wa kampeni unavyoenda jamii itashangazwa na matokeo ya huko.
kila ukipita kwenye kampeni za CUF mambo mengi wanayozungumza wanachama wake ni seif sharifu ameua chama cha CUF.
Daima muda ni hakimu mzuri ...siku ya kupiga kura na matokeo inaelekea
Usiwadanganye watu huo ni uongo chadema huku z'bar hakuna wanachama na hasa vijijini na hao wanao kwenda mikutanoni kutoka huko tanganyika uctafute sababu kusema kaibiwa kura kuhusu z'bar mzidi kujipanga bado sana na sifikirii