Kampeni za uchaguzi: Maajabu mengine

hawachelewi kuja na kusema kuwa hao ni waongo, kama walivyosema kwa wale waliokuwa wanachadema watiifu kule Mbeya kuwa hawakuwa wanachama. nyinyi subirini tu watakuja muda si mrefu kuja kukanusha. Aibu! nasubiri november 1 watakavyoadhirika.
 
Back
Top Bottom