Chipaka (mgombea wa TLP) kwa maneno yake mwenyewe alisema anagombea ubunge ili akuze CV yake ingawa anajua atashindwa.
2010 aligombea udiwani kwa Moromboo akashindwa.
Mkuu nikusahishe kidogo, aligombea udiwani kata ya 'Terat' akawa wa tatu akipa chini ya 100.