Mkuu unaweza kuja na version ya Kampeni za Kikwete na Wanawake - picha! Nitachangia kwa hilo
wako mtiifu
Azadirachta indica
Naamini hizo nyumba siyo madarasa au?
Mkuu mbona unachapia na picha za Somalia. Nchi yetu ni ya amani hatuna maskini wa hivi, au wapo?
Watoto hawakosi mikutano yeyote ya kampeni na wanahaki ya kujua hatima yao acheni waudhurie mikutano ili waweze kupima vizuri wakifikia umri wa kupiga kura. Huku bush ndio outing zenyewe hizo ijapokuwa nyie wa town ndio mnavyopima kukubalika kwenu kwa apiga kura, kampeni ndio fiesta zetu na ni bure na shamla shamla zinaanza masaa hata matano kabla ya mgombea kufika na uendelea hata wakiondoka.
Hoja dhaifu mnazoanzisha ndio zinazompa chati Kikwete, Mwafrika and et al.
hapa ndio tunanyanyua kiwango cha elima mazee... hata kumuona rais na mwanae ni kuinua elimu, the kids will have memories when they grow up:mmph::dance::dance::dance::whistle::whistle::whistle:
Wengine wamezurumiwa kwenye uzimaji wa Mwenge wamegoma duuu! haya nimaonezi kwa watoto!wamepewa alama za M kwenye vipaji vya nyuso zao ... iyo M inamaanisha nini?
Huyo kushoto kwa mkulu mbona alikuwa anisogeza pochi yake jirani na baiolojia ya vasco? vitu vidogo kama hivi huwa vinakosti sana maana kama angekuwa trained assassin angeweza hata kumpaka dawa kwenye koti lake au kumdidimiza kitu chenye ncha kali.Mkuu unaweza kuja na version ya Kampeni za Kikwete na Wanawake - picha! Nitachangia kwa hilo
wako mtiifu
Azadirachta indica