hiyo sheria haiwagusi mafisadiHivi wakuu si polisi walishatangaza kuwa lori haliruhusiwi kubeba au kutumika kama gari la abiria?au kipindi hiki cha uchaguzi sheria zinapindishwa?
naam ndo staili ya ccm hiyo. Basi ukiona hivyo dc keshachota fungu toka kwenye mfuko wa maendeleo akodishe magari ya kuleta watu. Basi nalo litaingia punde tu. Hope na siku ya kura watatuma malori yabebe watu wakapige kura! Raha tupu!
Lori la kwanza linaingia hapa likiwa limeshona watu
Lori la kwanza linaingia hapa likiwa limeshona watu
Yesu!!!
Yesu!!!
Anapaswa kuanza saa 6 na nusu bado hakuna watu,kuna wachache sana walio ktk fulana za kijani na njano,
Helkopta inazunguka juu ila bado uwanja hakuna watu
Vikundi vya ngoma vya wakina mama ndani ya khanga za ccm vinaingia hapa,hadi huruma guyz,kazi ipo
Wana ccm wanacheza ngoma hapa
Lori la kwanza linaingia hapa likiwa limeshona watu
nipo hapa uwanja wa jumbe manyoni watu wanamsubiria jk anayetarajia kuhutubia hapa muda si mrefu,watu ni wachache sana hawazidi mia moja,labda tusubilie watakavyobebwa na malori kuja kwenye huu mkutano,hapa vijana wanawatukana wenzao kwa kukubali kuvaa fulana za bure na kugeuka mabango ya matangazo,nitawajulisha zaidi
Namba za hilo lori ni t307 afl
Lori namba zake ni t 307 afl,limeshaondoka hope kwenda kuwaleta wengine
Watu wanagombania fulana hapa,polisi wamwaga sasa
sasa kama kinajali na kuwabeba kwenye malori na kuwalundika sehemu moja kwahutubia wawape kura wakati wanajua hizo kura wanazo, kuna mantiki ya kampeni kweli??sasa ulitaka waje kwa miguu!! CCM ni chama kina jali wapiga kura wake!! watu wanakusanyika katika matawai na kuchukuliwa na malori kwenda eneo la tukio!
Kweli atachelewa na kwa sasa nimepata taarifa anamalizia hotuba ikungu jimbo la singida magharibi kwa tundu lisu ndio aje hapa,hakuna watu hapa bado na msisimko ni mdogo sana,huko kwa lisu kuna upinzani mkubwa sana
naskia kuna mtu anaitwa khambaku (najua ni member wa JF) amesimulia jinsi alivyoijua chadema na wasivyo na sera baada ya kukaa siku 29!!!! hivi kweli kuna uwezekano wa kujua chama na fitna zote za ndani in just 29 days??
Na kabla ya hapo alikua wapi?? hii si ndiyo politcal prostitutuion tunayosema??
ni malaya wa siasa... thats it!!!! ccm kakosa, akaishia, chadema akakosa akaishia... hana pa kula karudi kwa bwana wa kwanza.... kweli muuza ni muuza tuHuyo jamaa alikuwa CCM akakosa kura za maoni akaja CHADEMA na baada ya siku hizo 29 akarudi CCM. All I can say, he's just a loon!
ni malaya wa siasa... thats it!!!! ccm kakosa, akaishia, chadema akakosa akaishia... hana pa kula karudi kwa bwana wa kwanza.... kweli muuza ni muuza tu
naskia kuna mtu anaitwa khambaku (najua ni member wa JF) amesimulia jinsi alivyoijua chadema na wasivyo na sera baada ya kukaa siku 29!!!! hivi kweli kuna uwezekano wa kujua chama na fitna zote za ndani in just 29 days??
Na kabla ya hapo alikua wapi?? hii si ndiyo politcal prostitutuion tunayosema??