Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Nimemsikia Hamad Rashid Mohamed akisema kuwa wakati wa kampeni za ubunge huko Igunga Bw. Mtatiro alipewa kiasi cha Shs. 128 milioni na matokeo yake ni kwamba alizitumia hizo hela kuponda raha. Hamad akafunguka zaidi na kusema kwamba walimkamata Mtatiro akiwa guest house na hawara huko Igunga!
Habari hii ikichanganywa na zile tuhuma za kwamba Mh. Mwigulu naye alikamatwa na hawara huko Igunga wakati wa kampeni zinanifanya niamini kwamba kulikuwa na vituko kibao kwenye kampeni huko Igunga. Tusubiri nini kitatokea huko Arumeru.
Source ya habari ya Hamad ni Clouds Fm.
Habari hii ikichanganywa na zile tuhuma za kwamba Mh. Mwigulu naye alikamatwa na hawara huko Igunga wakati wa kampeni zinanifanya niamini kwamba kulikuwa na vituko kibao kwenye kampeni huko Igunga. Tusubiri nini kitatokea huko Arumeru.
Source ya habari ya Hamad ni Clouds Fm.