Kampeni za Igunga Zilikuwa na Vituko!

Kimbunga

Platinum Member
Oct 4, 2007
14,941
9,947
Nimemsikia Hamad Rashid Mohamed akisema kuwa wakati wa kampeni za ubunge huko Igunga Bw. Mtatiro alipewa kiasi cha Shs. 128 milioni na matokeo yake ni kwamba alizitumia hizo hela kuponda raha. Hamad akafunguka zaidi na kusema kwamba walimkamata Mtatiro akiwa guest house na hawara huko Igunga!
Habari hii ikichanganywa na zile tuhuma za kwamba Mh. Mwigulu naye alikamatwa na hawara huko Igunga wakati wa kampeni zinanifanya niamini kwamba kulikuwa na vituko kibao kwenye kampeni huko Igunga. Tusubiri nini kitatokea huko Arumeru.
Source ya habari ya Hamad ni Clouds Fm.
 
Nimemsikia Hamad Rashid Mohamed akisema kuwa wakati wa kampeni za ubunge huko Igunga Bw. Mtatiro alipewa kiasi cha Shs. 128 milioni na matokeo yake ni kwamba alizitumia hizo hela kuponda raha. Hamad akafunguka zaidi na kusema kwamba walimkamata Mtatiro akiwa guest house na hawara huko Igunga!
Habari hii ikichanganywa na zile tuhuma za kwamba Mh. Mwigulu naye alikamatwa na hawara huko Igunga wakati wa kampeni zinanifanya niamini kwamba kulikuwa na vituko kibao kwenye kampeni huko Igunga. Tusubiri nini kitatokea huko Arumeru.
Source ya habari ya Hamad ni Clouds Fm.


hahahaha
kila mtu anatumia nafasi pale ipatikanapo,hata nami nime msikia Hamadi akimweleza mwandishi wa habari wa mawingu na kamwambia akatae kama si kweli,
 
Back
Top Bottom