Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
ndilo wanaloweza
Jamani wafuasi wa ccm wanaonekana ni watu waliochoka kuanzia kifikra hadi kimaisha. Picha zinatoa taswira halisi ya wanachama wa ccm waliobakia.
Huyu Wassira ahakikishe j3 yupo ofisini kwa kuwa analipwa mshahara kwa kodi zetu yeye anafanya kazi za chama na bungeni ni mausingizi tu. Watu kama Wasira ni LIABILITY kwa taifa
katiba mpya mkuu!Wakati mwingine huwa naona watu wengine wana bahati za ajabu sana! Kwa nini atuigi mtindo wa Merikani wa kufanya proper vetting kabla ya mawaziri kuthibitishwa kwenye post zao? Hii ingemsaidia Raisi sana maana raia ndiyo wanawajuwa fika watu hao kwa hiyo ingekuwa kazi ndogo kutoa taharifa kuhusu character zao za kweli bila majungu, si tunaishi nao bwana.
ndilo wanaloweza
kwi!kwi!kwi!
babu wa upande wa kulia amevaa gwanda.