L.a Makisi
Member
- Mar 29, 2011
- 44
- 4
Unaweza ukadhani wamefunika kumbe wamefunikwa
Si tufanye mikutano ya kampeni kama tunavyoshindanisha ngoma za Kisukuma? Yaani mikutano yote ifanyikie hapo Patandi tuone nani zaidi! Nani atamfunika mwenzake?
ni kweli kazi kubwa ya ccm ni kushambulia watu.CCM wana ma strategist wa nguvu sana, wao wanashambulia ardhini ambapo ndipo watu huishi, sasa cdm mnaenda angani mnafuata ndege (wanyama) au nini?
CCM wana ma strategist wa nguvu sana, wao wanashambulia ardhini ambapo ndipo watu huishi, sasa cdm mnaenda angani mnafuata ndege (wanyama) au nini?
CCM wana ma strategist wa nguvu sana, wao wanashambulia ardhini ambapo ndipo watu huishi, sasa cdm mnaenda angani mnafuata ndege (wanyama) au nini?
yaani wewe una akili .... huna tofauti na wakuu wako kufikiri kimagamba yaani hio helkopta uliambiwa haitui ardhini?
Si tufanye mikutano ya kampeni kama tunavyoshindanisha ngoma za Kisukuma? Yaani mikutano yote ifanyikie hapo Patandi tuone nani zaidi! Nani atamfunika mwenzake?
DCCM wana ma strategist wa nguvu sana, wao wanashambulia ardhini ambapo ndipo watu huishi, sasa cdm mnaenda angani mnafuata ndege (wanyama) au nini?
mimi sijaelewa kabisa nilipoona tbc nilishangaa sana hivi huu ni mkutano wa mjumbe wa serikali ya mtaa au kwani hakuna watu kabisa ila kama sivyo basi tuseme ccm yafunikwa[/QUOTE]