Waziri Mkuu, Mizengo Pinda anategemea kuzindua zoezi la sensa katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Sherehe za uzinduzi huu zinaendelea na zinaoneshwa moja kwa moja kupitia TBC1
Tayari mkuu wa mkoa ameshatuasa waislamu tushiriki kikamilifu ktk sensa na tuwapuuze wale masheikh wachache wanaotaka zoezi lisifanikiwe.. Nawa
my take:
waislamu wenzangu tujitokeze, tuachane na uhuni wa ponda
Aiseee baba yangu nimepita mnazi mmoja nimesikia sauti ya liwalo liwe akiongea huku bendera za c c m zikipepea hakuna watu kabisa watoto ndio wengi ngoja nitwange picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.