Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,390
- 31,338
Hebu acha kampeni za kitoto...
Kwani nani haelewi kuwa Ngongo, Kabonde na Nguruvi3 wote mtu mmoja anajitahidi kuonyesha kuwa anaungwa mkono...
Sipendi mabishano yasiyo na tija, lakini napenda nikuhakikishie kuwa mimi siwajui M/S Ngongo au Kabonde zaidi ya kusoma kutoka JF. Kama tunauelekeo wa mawazo unaofanana that's fine. Simpigii mtu kampeni ila ungesoma vizuri habari ungejua kwanini nina encourage watu walete data. Article imejibu swali muhimu sana kuhusu Batilda! ''Nguvu ya kisiasa'' hasA ukizingatia kuwa nimeishi na kufanya kazi Arusha nazijua siasa za pale. Sasa kama wagombea wa CUF na Chadema wana credentials zao ziwekwe tuwajue!. Hoja ni kuwajua wagombea.