Habari ina mapungufu mengi ( half baked ) apart from mfano wa Nape hakuna maelezo na mifano halisi ya mateleo ya magazeti hayo kuonyesha hizo mengine ya "kampeni" za kuwachafua watajwa.
Kuna baadhi ya watajwa haiingii akilini kutoka na nyadhifa zao kushiriki katika jambo kama hilo, one can understand uhusika wa EL, Karamagi et al lakini Premy na Salva give me a break!
Maswali makubwa ni je magazeti haya yapo?
Je hizo habari zenye malengo maalumu zimeisa chapishwa?
Kama yapo na habari zenye mlengo wa namna hiyo zimeisha chapishwa!...
kwa vyovyote vile ni mpango maalumu.. ambao watu wamewekeza kwake kwa ajili ya malengo maalumu. na wala sishangai watu hao kuwemo ama kwa kujua kabisa ( kama ilivo kuwa mtandao 2005) ama kutumika bila kujua!