Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana JF;
Katika matangazo ya ITV leo asubuhi, tumetaarifiwa kuwa katika toleo la sasa la SEMA USIKIKE, pamoja na mambo mengine kuna habari zinazodai kuwa kumekuwa na vikao vya siri ambavyo vimeweka mkakati wa kusambaza habari katika Media kuwa Mengi anauhusika na kuwaua Maalbino na kutumia viungo vyao katika kufanikisha biashara zake.
Kuna chanzo kimoja kimenidokeza kuwa Mbunge wetu wa kuteuliwa Albino anazo taarifa hizo kuhusu mengi kuhusika na kuwa watu wake wa karibu wamemhakikishia.
Wadau hii imekaaje? Au ni katika muendelezo wa vita vya Ufisadi na kupakana matope kama SEMA USIKIKE linavyodai?
Katika matangazo ya ITV leo asubuhi, tumetaarifiwa kuwa katika toleo la sasa la SEMA USIKIKE, pamoja na mambo mengine kuna habari zinazodai kuwa kumekuwa na vikao vya siri ambavyo vimeweka mkakati wa kusambaza habari katika Media kuwa Mengi anauhusika na kuwaua Maalbino na kutumia viungo vyao katika kufanikisha biashara zake.
Kuna chanzo kimoja kimenidokeza kuwa Mbunge wetu wa kuteuliwa Albino anazo taarifa hizo kuhusu mengi kuhusika na kuwa watu wake wa karibu wamemhakikishia.
Wadau hii imekaaje? Au ni katika muendelezo wa vita vya Ufisadi na kupakana matope kama SEMA USIKIKE linavyodai?
Last edited by a moderator: