Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #61
Mikononi mwa serikali?mimi nilijua hapa tunakampeni na mashirika mengi zaidi wapewe wazalendo wayaendeshe? kama kuipeleka UDA serikalini mimi siafiki waungwana. Naona nyie mmesahau maneno ya wanafalsafa kuhusu Private V public property. UDA kuwa ya serikali Hellllll NOOOOOOO!!!
Umesoma wapi tumesema irudishwe mikononi mwa serikali tu kama ilivyo?