<br />
<br />
hata sijaisoma. Nimetazama mdahalo nikapata picha ya kutosha. Kawajibu vya kutosha. Tumeshaambiwa kuwa uda ilianza kufa pale biashara huria iliposhika kasi. Kuna mashirika ya kuhodhi kama tanesco n.k. Sio hili . Labda mseme likisharudi serikalini nini kitabadilika. Huu usanii wa mikataba mmeufahamia uda? Ilianzia kwa chief mangungu. Sio kama napenda usanii ila kwa nini uda? Au la uda ni rahisi ku deal nalo kuliko tics, migodi, n.k. Mbaya zaidi kiwira ilichukuliwa na wazalendo. Uda nayo wazalendo. Kwa nini kampeni kwa mashirika na makampuni yaliyochukuliwa na wazalendo? Nasema tena siafiki ubadhirifu kufanywa na mzawa. Kwa nini kampeni dhidi ya wazawa? Niko huru kukosolewa pia
Sio kampeni dhidi ya mzawa, hoja iliyoo hapa ni kuwa Kisena kauziwa nyumba na asiye mmiliki wa nyumba husika. Hivyo umiliki wake una utata. Toka lini Bodi ya wakurgenzi iliyowekwa na wanahisa kusimamia shirika kama UDA ikawa na madaraka ya kuuza hisa za Shirika husika?