Kampeni ya Kuirudisha UDA mikononi mwa wananchi; Haja ya Mfumo Bora wa Usafiri Dar

Rafiki yangu mmoja kaandika hivi kuelezea hali ya usafiri wa umma huko Afrika ya Kusini:

Nimefurahikiwa na mada yako ulioianzasha juu ya kutaka watanzania tupigani ili UDA irudi mikononi mwa wananchi. Mimi Nipo South Africa na Safari zangu nyingi zinategemea Mabasi ya Jiji hebu pitia hapa uangalie kila Jiji hapa South Africa lina mradi wake wa mabasi Tunaanzia Johannesburg Rea Vaya Tunakuja Pretoria http://www.tshwane.gov.za/SERVICES/T...s/default.aspx

Cape Town: http://www.capetown.gov.za/en/MyCiti/Pages/default.aspx
Durban : eThekwini Online - Bus Timetables Home Page

Karibu kila Jimbo manispaa ina mabasi yake sasa tanzania tushindwe vipi? Hilo Ndio swali ninalojiuliza na hivi karibuni wamejenga Rali ya treni inayokwenda kwa spidi kama za huko Ulaya kwa muda mfupi wa na ukishuka kwenye kituo cha treni kuna mabasi yanayosubiria abiria na kuwapeleka mjini tena kwa bei ile ile uliyokatia tiketi ya treni hulipi pesa kwenye basi ukinunua tiketi ya treni na bus unapanda bure Gautrain - For People on the Move soma na project mwaka ulioanzia Gautrain - Wikipedia, the free encyclopedia sijui Tanzania tunashindw anini? Inatia uchungu
 
Mwanakijiji umemaliza mwenye akili na atumie akili yake kama kuna Wabunge sasa wabaki kumeza umewatafunia kiasi cha kutosha, nimependa hile sehemu inayosema ni wakina nani wenye akili na nia njema waliouza UDA ilibaadaye ije iingie mkabata na DART kama mali ya mtu binafsi!? Watakuona kama mchawi vile, naamini watu wengi bado hawajakuelewa ila nadhani hapa Wabunge watakupata.

UDA haipaswi kuuzwa hata kidogo zaidi serikali ilipaswa kuchukuwa hisa zote za UDA, Kumbuka kuwa hata Mkoloni aliye aianzisha hakuiuzwa iliendelea kuwa mali ya Serikali; katika hayo majiji uliyotaja yapo ambayo mabasi ya kwenda mjini ni bure hakuna nauli na sababu zipo nyingi sana hata Dar es Salaam tatizo waliokalia ofisi za Umma ni watu wa kuigiza na kuibia tu akili zao kama zao hakuna.
 
absolutely, tatizo liko wapi? mbona tunatoa ruzuku kwa vyama vya siasa kila mwezi ili watutawale au waje kututawala?
Hili nalo ni neno, tena zito. Tunawapa ruzuku wanasiasa ambao hawawekezi katika lolote lile, hiyo ni sawa, tunalipa wabunge wa viti maalumu na hatujui wamwakilisha nani mailioni ya fedha, hiyo ni ruzuku safi. Lakini tunaposema UDA ipewe ruzuku hapo hakuna pesa na ni ruzuku chafu! what?

Ruzuku si lazima iwe pesa, mathalani unaweza kusamehe kodi ya mafuta ya UDA, vipuri VAT n.k kuongeza tija.
Ndivyo ilivyofanyika kwa wenzetu duniani, wakati pipa la mafuta soko la dunia ni dola 110 .....125, walifuta kodi kwa kampuni za usafirishaji zenye masilahi na umma. Usafiri wa umma haukuathirika na kama ilitokea ni kidogo sana.
 
Hili nalo ni neno, tena zito. Tunawapa ruzuku wanasiasa ambao hawawekezi katika lolote lile, hiyo ni sawa, tunalipa wabunge wa viti maalumu na hatujui wamwakilisha nani mailioni ya fedha, hiyo ni ruzuku safi. Lakini tunaposema UDA ipewe ruzuku hapo hakuna pesa na ni ruzuku chafu! what?

Ruzuku si lazima iwe pesa, mathalani unaweza kusamehe kodi ya mafuta ya UDA, vipuri VAT n.k kuongeza tija.
Ndivyo ilivyofanyika kwa wenzetu duniani, wakati pipa la mafuta soko la dunia ni dola 110 .....125, walifuta kodi kwa kampuni za usafirishaji zenye masilahi na umma. Usafiri wa umma haukuathirika na kama ilitokea ni kidogo sana.

na utaona kabisa mjadala utakaokuja utakuwa kwenye suala hili la ruzuku; watasimama watu wanazungumza kama wana hekima na kudai "serikali isifanye biashara" hatuwezi kutoa ruzuku n.k lakini ni hao hao wametoa ruzuku hadi za kulipa mishahara trl na ruzuku kwa atcl! Hakuna wakati wamejaribu kuiokoa UDA

fikra zao ziko kwamba nyumba ikianza kuvuja au kuwa na nyufa uza tu hata kama watoto wako humo ndani! Hawana fikra za kusema tujenge upya , tubomoe na kujenga nyumba yetu mpya; wao wanakimbilia kuuza tu kama waliopagawa pepo wa ubinafsishaji!
 
I like the move na kikubwa lazima tuwe strategic na kama Mwanakijiji alivyosema we have done this before and we can do it again. The main focus sass ni kuhakikisha tuna-lobby kwa nguvu kwa hawa wabunge wa Dar na wengine Tanzania nzima key ni kufutwa kwa makubaliano yeyote yale yaliyowekwa kati ya UDA na Saimon Group.

The main goal right now ni kulipeleka hili swala zima na kuhakisha linazungumziwa Bungeni na linapata air time kwa wananchi na maswali lazima yaulizwe. Tukiangalia mifano mikibwa ambayo sio ya siku nyingi ni hili swala la Dowans na makubaliano yao na serikali ya kikwete. Wananchi waliweza kulisikia na likawaingia masikioni kama mwiba na hapa strategies ziwe vilevile na tuna ushahidi wa kutosha kwamba media na inform nyingi zikipelekwa kwa wananchi ni yafuatayo naamini yatatokea; Saimon Group wata scrap the deal na ku-walk away na pili serikali litaendelea kushikilia mpaka tutakapopata uongozi mpya na kubalisha hiii kampuni.

The problem bado nataka nizungumzie hii serikali ya inayofanya kazi kwa kupitia ofisi za majumba ya watu. Inakuaje wananchi hawaelezwi hizi bids za contracts au any kind policies katika hii nchi? Kwa nini kila kitu kifanyike nyumbanikwa kikwete? When we get rid of this so called constitution, this is the only way we will rebuild our country. I am pessimistic our country is embracing cdm and changes are just around corner.

"Mikataba yote hii ya kikwete, mkapa, mwinyi ni uhuni na ujambazi. All of them will face justice trust these words"
 
na utaona kabisa mjadala utakaokuja utakuwa kwenye suala hili la ruzuku; watasimama watu wanazungumza kama wana hekima na kudai "serikali isifanye biashara" hatuwezi kutoa ruzuku n.k lakini ni hao hao wametoa ruzuku hadi za kulipa mishahara trl na ruzuku kwa atcl! Hakuna wakati wamejaribu kuiokoa UDA. fikra zao ziko kwamba nyumba ikianza kuvuja au kuwa na nyufa uza tu hata kama watoto wako humo ndani! Hawana fikra za kusema tujenge upya , tubomoe na kujenga nyumba yetu mpya; wao wanakimbilia kuuza tu kama waliopagawa pepo wa ubinafsishaji!
Na kwamba chumba cha baba kikivuja weka mabati na lami, mabanda ya watoto uani yakivuja uza.

Serikali imetoa ruzuku hadi kwa RITES wawekezaji wa aina yake duniani. Serikali imetoa ruzuku kununua mashangingi ya maafisa moja likigharimiu milioni 220. Serikali imekopesha wabunge mashangingi na kodi zingine zimefutwa kupunguza makali, serikali inamlipa mbunge kwa milage hata kama anakwenda nyumba ndogo. Yote haya ukiyaangalia ni ruzuku zizlizofichwa kwa maneno, si kwa mlala hoi bali kwao

Kama serikali haipaswi kufanya biashara, kwanini iingilie kati ununuzi wa mashangingi ya wabunge! kwanini mbunge asinunue kwa pesa zake hadi adhaminiwe na serikali. Kwanini isiwe mbunge na Toyota Tz Ltd, au Nissan n.k

Linapokuja suala la usafiri wa umma tatizo ni ruzuku na serikali kufanya biashara ndiyo vibwagizo.
Kwanini turuhusu mwekezaji asilipe kodi kwa miaka 5 na tuone ni dhambi kusamehe kodi ya mafuta na vipuri kwa UDA.

Kwanini tumpe mwekezahi RITE mtaji na tusiweze kutoa mtaji kwa UDA?

Je miaka 28 ya soko huria la dala dala imefanya nini kizuri kinachoweza kuigwa na mikoa mingine kama si nchi nyingine!
 
Nakubaliana na wewe lakini itakaporudi mikononi mwa wananchi ni nani atakabidhiwa dhamana ya kuiendesha?
Wasiwasi wangu ni aina ya viongozi wa jiji tulionao

Ni vuzuri kumilikisha assests kwa watu binafsi kwa utaratibu unaofaa, sio kinyemela na kwa wizi. Bado watanzania hatuna uwezo wa kuendesha mashirika ya umma, tuna mifano tosha tu. hata serikali yetu ionaendeshwa hovyo kwa kuwa inaendeshwa kiswahili kama tulivyoendesha UDA, NMC, RTC etc etc. UDA ikirudi litakuwa jambo jema, lakini sio kwa mtindo ule wa zamani uliolifanya shirika life. Angalia viongozi wa jiji walivyo na udhaifu kuendesha jiji, unaweza kuwaamini na mradi serious kama UDA??
 
Ni vuzuri kumilikisha assests kwa watu binafsi kwa utaratibu unaofaa, sio kinyemela na kwa wizi. Bado watanzania hatuna uwezo wa kuendesha mashirika ya umma, tuna mifano tosha tu. hata serikali yetu ionaendeshwa hovyo kwa kuwa inaendeshwa kiswahili kama tulivyoendesha UDA, NMC, RTC etc etc. UDA ikirudi litakuwa jambo jema, lakini sio kwa mtindo ule wa zamani uliolifanya shirika life. Angalia viongozi wa jiji walivyo na udhaifu kuendesha jiji, unaweza kuwaamini na mradi serious kama UDA??

Bongolander; inawezekana uko sahihi kweli na mimi siamini katika kurudisha UDA kwa watu hawa hawa na mtindo huu huu. Naamini ikirudishwa lazima uje mfumo mzuri wa kulisimamia na kuliendesha. Lakinin hili linahitaji uongozi na kiongozi mwenye maono. Yule Meya wa Bogota aliyeingiza hiyo public transportation alifanya kitu ambacho hakikudhaniwa kuwa kinawezekana.. tatizo sijaona bado kiongozi TZ mwenye maono na uwezo wa namna hiyo ; angalia tu wanavyosumbuka na suala la nishati ndio ujue tulivyo na kazi.
 
Majaaliwa ni 50 kwa hamsini, KAUMA limebaki jina la vituo vya kuteremshia abiria kama huko Mwanza kuna eneo siku moja nilisikia linaitwa KAUMA nilipokuwa huko katika daladala. Ikanikumbusha jinsi Kampuni Hii adhimu ya Uchukuzi wa Umma ilivyotafunwa kama UDA. Uwajibikaji unaweza kufanikisha hilo.
 
Tumeendelea kusoma madudu kuhusu UDA katika post zingine. Imesemwa jambo hilo lina muda wa miaka 2, na swali langu linakuja inawezeakanaje serikali kutojua ukweli huu!!!

Kwa miaka 2 watu wanashughulikia kuuza UDA na si kuimarisha kwa mitaji au kuuza shea. Si kuwekeza katika fedha na utaalamu. Tunachohadithiwa ni kuwa imebidi iuzwe kutokana na hasara na uendeshaji mbovu.

Watanzania wanadhani ubaya upo katika jina au vifaa! ukweli ni kuwa uzembe upo katika uongozi, kuanzaia wa shirika, jiji na serikali.
Kwa hili serikali ndiyo inabeba mzigo wote. Kusema mashirika ya umma hayafanyi vema inanitia shaka, mbona CRDB, NMB zinafanya vema?

Kuchukua UDA na kuweka mikononi mwetu halina majadala, mjadala ni jinsi gani ya kuwa na viongozi wanoweza kuliendesha kwa faida ya umma.
Hivi Simon group ana uwezo zaidi ya umma anaotaka kuuhudumia.

Kuna njia nyingi sana za kupata viongozi wa shirika waadalifu na hata ikibidi tuite wazungu au wageni na iwe hivyo. UDA ifanywe sehemu ya DART na umiliki wake uhusishe wana hisa ili kuondoa ukiritimba wa serikali, jiji, mwenyekiti wa bodi na meya.

Tutoe ruzuku kwa njia za 'incentives' kuondoa kodi za mafuta, uagizaji wa mabasi na vipuri.
Sitarajii kwa uongozi wa nchi yetu shirika lirudi mikononi mwa serikali, lakini ni lazima liwe la umma na mahusiano yake na serikali yapitie umma.
 
Yawezekana kuna mabaya nyuma ya mtu huyu. Hata wewe mwanakijiji sio msafi kiivyo. UDA irudi wapi? Mnaona raha uda kuuza aseti zake sio? Halafu kwa nini uda? Mwacheni huyo mwekezaji afanye mipango yake, akishindwa ndo mumbane. Sio kila kitu cha kupingwa wandugu. Wahindi wa rites wangefanya vizuri mngewaondoa? Simon akifanya vizuri bado mtamwondoa? Acheni unafiki na uzandiki. Anzeni kwanza na wahindi kina manji wanaojifanya wafadhili wa michezo na makada wa chama kuficha maovu yao. Acheni hizo!
 
absolutely, tatizo liko wapi? mbona tunatoa ruzuku kwa vyama vya siasa kila mwezi ili watutawale au waje kututawala?

Hili nalo ni neno, tena zito. Tunawapa ruzuku wanasiasa ambao hawawekezi katika lolote lile, hiyo ni sawa, tunalipa wabunge wa viti maalumu na hatujui wamwakilisha nani mailioni ya fedha, hiyo ni ruzuku safi. Lakini tunaposema UDA ipewe ruzuku hapo hakuna pesa na ni ruzuku chafu! what?

Ruzuku si lazima iwe pesa, mathalani unaweza kusamehe kodi ya mafuta ya UDA, vipuri VAT n.k kuongeza tija.
Ndivyo ilivyofanyika kwa wenzetu duniani, wakati pipa la mafuta soko la dunia ni dola 110 .....125, walifuta kodi kwa kampuni za usafirishaji zenye masilahi na umma. Usafiri wa umma haukuathirika na kama ilitokea ni kidogo sana.

Kama kuna Watanzania wanaofikiri hivi na kiasi hiki! Kwanini serikali isitumie bongo zao hii nchni ingekuwa mbali sana sio watu wanaolala na kufikiri familia zao na ndugu zao tu.
 
Ni vuzuri kumilikisha assests kwa watu binafsi kwa utaratibu unaofaa, sio kinyemela na kwa wizi. Bado watanzania hatuna uwezo wa kuendesha mashirika ya umma, tuna mifano tosha tu. hata serikali yetu ionaendeshwa hovyo kwa kuwa inaendeshwa kiswahili kama tulivyoendesha UDA, NMC, RTC etc etc. UDA ikirudi litakuwa jambo jema, lakini sio kwa mtindo ule wa zamani uliolifanya shirika life. Angalia viongozi wa jiji walivyo na udhaifu kuendesha jiji, unaweza kuwaamini na mradi serious kama UDA??

Mawazo yako yana maanisha kuwa hatuwezi kujitawala, na hivyo tuombe ukoloni urudi, kama unachokisema ni kweli basi itabidi tufanye hivyo ila haya yanayofanywa sasa hayata leta majibu ya matatizo bali yataongeza matatizo hasa kwa hili la UDA na matatizo ya usafiri katika jiji la Dar.

Mimi na amini tunaweza hasa CCM ikitupisha maana wao ndio janga lenyewe linalokufanya wewe uone kuwa hatuwezi, hawana uwezo wakujuwa matatizo na suluhisho sahihi kwa kila tatizo.

Hayo mashirika unayosema wewe kuwa yalikufa, sababu ilikuwa ni kuidumia CCM bila utaratibu, na ndio maana hata waliyoyauwa bado ndio wakurugenzi na wakubwa kila kona katika ofisi za Umma.
 
Yawezekana kuna mabaya nyuma ya mtu huyu. Hata wewe mwanakijiji sio msafi kiivyo. UDA irudi wapi? Mnaona raha uda kuuza aseti zake sio? Halafu kwa nini uda? Mwacheni huyo mwekezaji afanye mipango yake, akishindwa ndo mumbane. Sio kila kitu cha kupingwa wandugu. Wahindi wa rites wangefanya vizuri mngewaondoa? Simon akifanya vizuri bado mtamwondoa? Acheni unafiki na uzandiki. Anzeni kwanza na wahindi kina manji wanaojifanya wafadhili wa michezo na makada wa chama kuficha maovu yao. Acheni hizo!

Sijakuelewa?

Una maana kuwa acha waibe tu kama ni mweusi? Maana hata wahindi wanaiba na hawajafanywa kitu! Umenicheka kabisa sikutegemea kuona jibu kama hili katika thread kama hii, maana huu ni mzaa unajenga hoja yako juu ya makosa mawili na kutaka kusema tuendelee na makosa hakuna haja kupinga maana makosa ni sehemu ya maisha yetu tuyazoee tu!

Au una taka kusema kuna sehemu Mwanakijiji ulimkuta akimtetea Manji katika madudu yake? na sasa unamshangaa hapa anapinga madudu yalele ambayo kwa Wahindi anayatetea! Labda ufafanue vizuri hoja yako ipo juu ya nini na kwanini tusidai UDA maana jina la Manji haliwezi kuwa hoja ya kutuzuia kudai UDA! Soma vizuri hiyo attachment ya MMKJJ.
 
Yawezekana kuna mabaya nyuma ya mtu huyu. Hata wewe mwanakijiji sio msafi kiivyo. UDA irudi wapi? Mnaona raha uda kuuza aseti zake sio? Halafu kwa nini uda? Mwacheni huyo mwekezaji afanye mipango yake, akishindwa ndo mumbane. Sio kila kitu cha kupingwa wandugu. Wahindi wa rites wangefanya vizuri mngewaondoa? Simon akifanya vizuri bado mtamwondoa? Acheni unafiki na uzandiki. Anzeni kwanza na wahindi kina manji wanaojifanya wafadhili wa michezo na makada wa chama kuficha maovu yao. Acheni hizo!

Binadamu Bwana haya!!!!!!!!
Ushaambiwa Gereji iliyokuwepo KAFUKIA na kajenga Godown, Upati somo tu hapo?
na kumbuka kwenye sheria ya uwekezaji inaruhusiwa kubadilisha kazi ya kampuni kama ukiona iliyopo hailipi sasa hii sio UUsafiri daresalaam tena ni kitu Kingine ndungu yangu!
sisi tunataka UDA ndani ya DART!
upooooooooo?
 
<font size="3">Sijakuelewa?<br />
<br />
Una maana kuwa acha waibe tu kama ni mweusi? Maana hata wahindi wanaiba na hawajafanywa kitu! Umenicheka kabisa sikutegemea kuona jibu kama hili katika thread kama hii, maana huu ni mzaa unajenga hoja yako juu ya makosa mawili na kutaka kusema tuendelee na makosa hakuna haja kupinga maana makosa ni sehemu ya maisha yetu tuyazoee tu! <br />
<br />
Au una taka kusema kuna sehemu Mwanakijiji ulimkuta akimtetea Manji katika madudu yake? na sasa unamshangaa hapa anapinga madudu yalele ambayo kwa Wahindi anayatetea! Labda ufafanue vizuri hoja yako ipo juu ya nini na kwanini tusidai UDA maana jina la Manji haliwezi kuwa hoja ya kutuzuia kudai UDA! Soma vizuri hiyo attachment ya MMKJJ.</font>
<br />
<br />
hata sijaisoma. Nimetazama mdahalo nikapata picha ya kutosha. Kawajibu vya kutosha. Tumeshaambiwa kuwa uda ilianza kufa pale biashara huria iliposhika kasi. Kuna mashirika ya kuhodhi kama tanesco n.k. Sio hili . Labda mseme likisharudi serikalini nini kitabadilika. Huu usanii wa mikataba mmeufahamia uda? Ilianzia kwa chief mangungu. Sio kama napenda usanii ila kwa nini uda? Au la uda ni rahisi ku deal nalo kuliko tics, migodi, n.k. Mbaya zaidi kiwira ilichukuliwa na wazalendo. Uda nayo wazalendo. Kwa nini kampeni kwa mashirika na makampuni yaliyochukuliwa na wazalendo? Nasema tena siafiki ubadhirifu kufanywa na mzawa. Kwa nini kampeni dhidi ya wazawa? Niko huru kukosolewa pia
 
Binadamu Bwana haya!!!!!!!!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Ushaambiwa Gereji iliyokuwepo KAFUKIA na kajenga Godown, Upati somo tu hapo?&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
na kumbuka kwenye sheria ya uwekezaji inaruhusiwa kubadilisha kazi ya kampuni kama ukiona iliyopo hailipi sasa hii sio UUsafiri daresalaam tena ni kitu Kingine ndungu yangu!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
sisi tunataka UDA ndani ya DART!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
upooooooooo?
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
alijibu hilo. Kasema, alitoa nusu heka kwa kazi hiyo na kalipa ml 200 uda. Manji kachukua heka 12+ na analipa ml 20 au 40! Hilo mbona huligusi? Halafu, mbona uda waliuza ubungo terminal n.k hamjahoji? Akaunt imeoverdraft hauhoji? Huyu kaweka ghala tu imekuwa tabu? Angeuza kipande si mngemnyonga? Wawekezaji wangapi wamebadili viwanda vyetu na kuvifanya maghala? Kuna kitu tunaita conglomerate na portifolio. Hayakwepeki haya. Leo hii bakhresa angetegemea unga tu angekuwa hapo? Pia kuna wahanga wa Geita. Wameporwa ardhi na kukabidiwa Geita Gold Mining. Wapo makambini hadi leo wanahitaji misaada na ardhi yao. Someni tz daima ya leo (14 aug 11). Kawateteeni hao. What is uda bwana! Mwanakijiji i respect you, but do not be subjective on which war to fight. Priorities are there, but UDA is not a priority at all!
 
There is no doubt that UDA is and will still remain to be a public property cause walioiuza ( Bodi ya Wakurugenzi chini ya Iddi Simba) hawana mamlaka ya kufanya hivyo. Madaraka ya bodi ya wakurugenzi yanaishia kukodisha mali za shirika zitumiwe na mwendashaji kama Simon Group au kuruhusu another managining agent to run the business. From the looks Huyu Kisena ni figure head wa wakubwa hususan hivyo wanaotaka mali za UDA si yeye binafsi ili ni wakubwa wa CCM na Serikali yake. Nimepata habari kuwa Ndg Kisena anadai kuwa anataka kununua mabasi 200 kwa fedha zake. Kabala hatajafika huko naomba atueleze kuwa haid anapata uwezo wa kununua mabasi 200 ameshalipa kodi shiling ngapi tokea aanze kufanya biashara hadi kupata uwezo huo?

Ni dhahiri kama hajalipa kodi inayolingana na kumiliki ukwasi wa kuweza kununua mabasi 200, hizo fedha zinztoka kwa viongozi wa CCM na Serikali ambazo tunaibiwa kila kukicha
 
Back
Top Bottom