Bandugu,
Naomba mwenye uelewa anisaidie, mtoto wangu ana mwaka na miezi sita na hivyo alishapata chanjo zote hizi za surua, polio vit a na bcg wakati nampeleka clinic. sasa je anatakiwa kumpeleka tena kwenye chanjo hizi? maana naona kama ni zile zile tu.
Naomba mwenye uelewa anisaidie, mtoto wangu ana mwaka na miezi sita na hivyo alishapata chanjo zote hizi za surua, polio vit a na bcg wakati nampeleka clinic. sasa je anatakiwa kumpeleka tena kwenye chanjo hizi? maana naona kama ni zile zile tu.