Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Jamani kwa hali ilipofikia sasa baada ya JK kukimbia mdahalo na kumwachia Kinana ambaye amezidi kukidhoofisha chama, mi naona ni heri Kinana na Makamba wakasepa na kumwacha JK akiendeleza kampeni ya Baba Mama na Watoto (BMW)