Mhh!!?? Train inataka kuingia barabarani nini??
Anyway cjui Tz na wa Tz wapi tunaelekea maana fisadi wa kiukweli ni nani hasa?maana mimi sasa naanza kuchoka kabisaaaa!!!!!
.
HAKUNA VITA YA UFISADI HAPA! NI CHUKI NA UBAGUZI TU! wasitiingize ktk mambo ya siotuhusu
Nimeshatupa line ya voda nimenunua tigo dakika kumi zilizopita mm sisubiri hiyo tarehe 1/06/09
tususie mara ngapi?
mimi maji ya Kilimanjaro situmiii
magazeti yake sinunui
redio yake sisikilizi
tv ndio kaisaa
In short situmiii product yoyote ya IPP
kususia biashara za mafisadi wanaojulikana, na wasiojulikana?? na waliosingiziwa??
tuanze na viwanda vilivyouzwa kifisadi, mabenki kama NBC, mpaka barabara zilizojengwa kifisadi tusisafirie!
Mpaka umeme wa kifisadi tusiwashe!
utakuta nchi nzima watu wana-stuck, maana mpaka bajaj nyingi ni za mafisadi , achilia mbali daladala, tex na mabasi!
au nyie kwenu mafisadi ni Mengi na RA??
Mtakaa na njaa shauri zenu, ngano ile je??
Nimeshatupa line ya voda nimenunua tigo dakika kumi zilizopita mm sisubiri hiyo tarehe 1/06/09
La Mgambo Limelia.
Wote Spana Chini.
Kuanzia Tarehe 01-06-2009 Wapinga Ufisadi wote waliuokuwa Wanatumia Vodacom wahamie mitandao mingine.
Sasa tunakomaa nao.
Leteni bidhaa za makampuni mengine pia ya kifisadi. No jokes.
Soma Post 55 hapo juu