This month kura kwa Arabela mkuu Advicer , lara 1 analazimisha tu kugombea mwezi huu ila ana stress kibao na boss wake wamenyimana nini sijui afu wakajaziana vibaya form gani sijui, ana kaaazi kwelikweliiLara 1 hagombei?????akigombea lara lazima nimpe kura yangu bt kama hagombei naomba yeyote anishawishi nimchague
Mimi JESHI LA MTU MMOJA BABA V!!!!!!!!!!! Mambo yangu si umeyaonaaaaaaaaaaaaaa! KAMPENI PROFESSIONAL KAMA OBAMA !!!!!!!!!!!
chukua ushauri wa baba v la sivyo utakuwa kama huyu
Mpenzi wangu ina maana mimi kwenda mazishini huku nyuma umeshaanzisha mahusiano na wanawake wengine?
Ruttashobolwa unanisaliti hata mimi?
Ngoja nirudi tupambane@Aghrr??@/@!.