Kampeni Kupinga 'chenji' ya fedha za Radar wasipewe tena Serikali

Wenzenu waingereza wapo kwenye mchakato wa kutunga new foreign policy ambapo kuanzia sasa misaada mingi ambayo ina aim for development policies hiwe inakuwa invested directly kwenye makampuni yao kwa madai ya kuwa at least wao wanauwezo wa kuweza ongoza, zalisha na kuongeza local economic benefit (true, what about Barrick?), hila faida ujue inarudi kwao tena kwa ndege. Hawa wazungu kweli wanatuona sisi bado na kuwa kunyonywa ni sawa tu kutokana na akili zetu (wakati sisi tuemshindwa kuzalisha umeme, sasa tumempa mzungu biashara yenye faida kesho tutaanza ohoo hawa wazungu mbona hawalipi hiki na kile wakati ni ujinga wetu wenyewe kwa kuanzia).

Ina maana badala ya kuuendeleza ule wimbo wa katiba hili kuweka mambo sawa tunataka msaada wa 'John Bull' (ama kweli wa afrika tuna priority issues and we are very impatient people) , mtu huyo huyo alietuingiza mkenge in the first place leo tena atusaidie; akili zetu saa zingine.

Kwa wale mliopata hii issue juu juu ni hivi, BAE na serikali yao ikiongozwa na 'tony blair' walisha babuliwa awali kuhusu hii issue ya rada kwenye bunge lao, na wakawatetea BAE, wakiongozwa na PM wa wakati huo walisema the sell was justifiable and there is nothing wrong, huyo ndio mzungu.

Unataka kusema hawa jamaa hawakujua hili rada ni bovu in the first place au kwao ilikuwa hili mradi litoke tu. Baada ya hapo ndio moto ukafuka, tena sio kwa sababu ya sisi kupewa rada bovu au huruma ya mzungu, hili lilishakuwa changa la macho tayari kwetu.

Tatizo lilianza baada ya wamerakani kukasirika BAE kuingilia kati deal yao na UAE worth '60 Billion pounds' on military fleets and weapons. Its alot of money for a single company. Ndipo wamarekani kuanza upelelezi kwa sababu walijua kuna foul play imetendeka kwenye ulaji wao iwaje hawa waarabu wabadilishe akili zao ghafla.

kwenye upelelezi wao ndio wakakuta shutuma za uongoji na foul play za hela uchwara (to their standards) kwenye deal la rada. kwenye kufungua mashtaka yao wamarekani ndipo walipo involve all the shoddy dealings za BAE na jinsi walivyo washenzi, leo tena tunawaomba wasilipe serikali (im not suprised they are picking up phone calls and comprising that evidence to give to their government not to pay directly something they would have loved to do in the first place).

Inabidi tujue kupambana wenyewe kwa wenyewe na kuziba mianya yetu mibovu lakini kamwe narudia tena kamwe uongozi wa juu nchi ya mzungu auwezi kuwa upande wa mwafrika at heart, ni wao waliokuwa na nia ya kutuibiaa hii hela leo tena tunaomba watusaidie kwani hawajui matatizo yetu.
 
liserikali hili la ccm ni la ajabu kweli! yaani halina hata uchungu na pesa za wavuja jasho wa nchi hii......na tena wote ni mafisadi tu....kama wangelikuwa na uchungu na nchi hii basi tangu serikali ya uingereza ilipobaini wizi ule wa BAE system na kuwataka warejeshe pesa zilizozidi...nilitegemea liserikali hili la hovyo atleast lingedanganyishia kuwakamata wahusika hata kwa muda tu (maana wanafahamika) ili japo kuwarubuni waingereza kwamba wamepokea taarifa hizo za ufisadi kwa masikitiko makuna na kwamba wako concerned. matokeo yake wanabwabwaja eti wanazitaka pesa hizo mikononi mwao....hawana hata aibu.....WANANIKERA KWELI.....
 
Email sent tayari,hawa vibaraka wa CCM wanaoingia hapa na kutetea pesa zirudishwe serikalini naona wanaongea upupu tu, na nyinyi ndio wezi wenyewe.....
 
The British should use the money to establish a scholarship fund and train the 20 best Form six performers from next year in british Universities for the next five years. never return the money to the same theives who stashed it away from the country in the first place!
 
Hii issue Membe ameipeleka bungeni na Zitto ameomba ijadiliwe. Spika amekubali ila hajasema lini. So far we are doing good. Kwa wale ambao bado hawajatuma email please tumeni.
 
Tanzanians lobby BAE over probe money

By Caroline Binham

Published: June 23 2011 03:15 | Last updated: June 23 2011 03:15


BAE Systems is under pressure from Tanzanian politicians to make a direct payment of £29.5m ($47.3m) to the African nation rather than to non-governmental organisations as part of the defence group's bribery settlement with the Serious Fraud Office.
A Tanzanian delegation of eight politicians including Job Ndugai, the deputy speaker of parliament, travelled to London this week to press its case with the UK company and MPs.

The politicians want the money BAE must pay to go directly to Tanzania and not to charities and NGOs – one of the options being considered by a BAE ethics board. BAE settled its case with the SFO in 2010, pledging to recompense the people of Tanzania. The deal closed a probe into billions of dollars of payments allegedly made over many years on BAE's behalf in Europe, the Middle East, Africa and Latin America. The group pleaded guilty to one offence that it had accounted inaccurately for $12.4m of payments made between 1999 and 2005 to a Tanzania-based businessman, for his work as an agent in helping to secure a politically contentious 1999 radar deal in Tanzania.

The SFO told the Financial Times it did not have a view on the best way for BAE to distribute the money. "SFO Director Richard Alderman was committed to the principle that BAE should provide compensation to the people of Tanzania and he secured BAE's agreement to that important element of the plea negotiation," the agency said. It said it is for BAE to consider the nature of the arrangements, adding that the company might want to take into account any representations made by the African country.


The delegation arrived days after BAE announced the creation of a board chaired by Lord Cairns to oversee how the money will be sent to Tanzania.
"The board will consider in due course the channels through which the money will be donated," said a BAE representative. She added that the group would publish details of the payments in its annual report. Global Witness, a non-governmental group, told the International Development select committee in its inquiry into the bribery that the payment decision should not be left to a private company. "This process should be conducted in co-ordination with the UK and Tanzanian authorities."

FT.com / Africa - Tanzanians lobby BAE over probe money
 
JFs let us fight corruption... BAE promised to record all our protests and consider them, they are also ready to listen how best can this refunded money channel to Tanzanians! Please write emails send even sms, with coded massages: "no money to corrupt gvt channel it thru local NGOs"

Jamani nimefuatilia mwamko wa watanzania kupinga serikali isipewe hii chenji ya rada bado ni mdogo sana, nawasihi andike emils au hata sms yenye meseji: "No money to corrupt Gvt channel it thru local NGOs" gharama si kubwa ni sawa na kutuma email ukiwa hapahapa TZ. Tum SMS hapa:

Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
Leonie.foster@baesystems.com
 
BAE systems wasirudishe change kwa serikali ya Tanzania. Bora hao BAE wapitishe katika mashirika yao ili yatoe huduma Tanzania.

Serikali ya Tanzania ni ya Kifisadi.

Mbona Hela za EPA walikwapua??? KAGODA Agriculture ni nani???

Nimewaandikia BAE systems nikiwa kama Mtanzania, nikawaambia kuwa sisi watanzania tunataka hizo hela through NGOs. Kwanza waondoe posho kwanza wanazolipana, halafu wasema KAGODA ni nani...

Pia Andrew Chenge na wenzake wapelekwe mahakamani jinsi BAE walivyopelekwa. NDio kama serikali ya Tanzania ikimpeleka Bwana Chenge mahakamani, sawa BAE watawapa Hela.

Pitia website ya BAE systems Hapa


Contact Us - BAE Systems
 
[h=2]
icon1.png
Re: Kampeni Kupinga 'chenji' ya fedha za Radar wasipewe tena Serikali[/h]
JFs let us fight corruption... BAE promised to record all our protests and consider them, they are also ready to listen how best can this refunded money channel to Tanzanians! Please write emails send even sms, with coded massages: "no money to corrupt gvt channel it thru local NGOs"

Jamani nimefuatilia mwamko wa watanzania kupinga serikali isipewe hii chenji ya rada bado ni mdogo sana, nawasihi andike emils au hata sms yenye meseji: "No money to corrupt Gvt channel it thru local NGOs" gharama si kubwa ni sawa na kutuma email ukiwa hapahapa TZ. Tum SMS hapa:

Leonie Foster, BAE Systems
Tel: +44 (0)1252 383777 Mob: +44 (0)7540 630168
Leonie.foster@baesystems.com

Last edited by Zed; Today at 11:51 PM.​
 
zed===nimeandika email lakini hazijajibiwa,au wameshawekwa sawa???????????ovyo kweli,hawa ni kuwanyonga tuu
 
Sijawahi kuona Mijitu Mijinga kama sisi watanzania na viongozi wetu. Pesa za TZ zilizoibiwa zilitumika kama KICKBACK through Vithlani kwa kina Chenge, Mramba, Mkapa n.k. Sasa kama zerikali ina uchungu na pesa zake, si iwakamate hao majambazi walioreceive hizo pesa ie kina Chenge na kuwafilisi??

Technically BAE lazima watoe charity kwa sababu hawakukubali criminal charges, sasa watadeal vipi tena na partner aliyehusika na huo wizi in the first place?? Hivi membe anajua international law au anaongea tu???
 
zed===nimeandika email lakini hazijajibiwa,au wameshawekwa sawa???????????ovyo kweli,hawa ni kuwanyonga tuu
Da Rosemarie, wanakusanya public opinions za watanzania halafu advisory committee itakapokaa wanaweka uzito wa hoja kwa wingi wa maoni na hoja zenyewe. Lakini wingi wamaoni unatosha kutoa ushawishi wa kukataa kuipa serikali chenji! Thanx for sending emails hamashish na wengine! Pamoja twaweza kuwanyima usingizi mafisadi!
 
Hvi serikali ya tanzania haina aibu
  • DPP na TAKUKURU wamfunga jalada kwamba hakuna watanzania walohusia. Wakati kila kituu kipo wazi.
UK wameshindwa kufugulia sei BAE sababu ya uzalendo. BAE ni kampuni ikubwa zaidi ya UK na kuunguakesi ina maana insgeruhusiwa kufanya biashara EU. But if BAE was Atzannia company and Chenge na wenzake wangekuwa watu wa UK. Wangekuwa na kesi ya kujibu.

Sasa inshangaza kushindwa kwa uK kuifungulia esi BAE wa sabbau za uzalendo iwe pia ni sabbau kwetu usindwa kuwafugulia kina chenge na wezake sababu sijui ya nini ni uzalendo au ni pesa za CCM.

My insttict tells me zile pesa inawezekana Chenge aliziweka kwa niaba ya chama kama si vgogo fulani.

BTN

Ila wadau na apa bongo una NG nyingi za kizushi mfano
  • Ni ile NGO ya prof mkandara a yenyewe . Sidhani kama ni sahii NGO ya kufanya reserch za kisiasa kama ile inatakiwa kupata hizo hela.
  • Kuna NGO ya Chenge mwenyewe amabo ndo alisema vile vijienti ni vya NGO
  • Inashangza kuna NGO za mambo ya kilimo makao yake makuu yako Dar.

So wakati tunakubaliana fedha zipelekewe kwenye NGO. Tusisitiize priority ni NGO au aina ya huduma gani zipewe prority
 
Hii serikali ya kifisad wakat umefika kuiadhibu !kitendo cha kujifanya wakali kurudishwa hela za wiz bila kutuambia mwizi mwenzi ni nani ni kutukebehi ! Wanajifanya wanamachungu kurudishwa w
akat hawana machungu kuzilinda hii huku ni kututusi ! Na hawana lolote wanataka zipite kwao wachukue vijisent! Umelonga kweli mkuu ni kutuma mail kwa kwenda mbele wez wakubwa hawa !
 
Nime tuma,lakini ninge shauri kama kuna watu wana account facebook,twitter etc basi
wawajuze na wao huko kuhusu hili,mimi nimetumia email list yangu yote,facebook na twitter sipo ningeweka
 
Wana JF tuungane na kutafuta political champion watakopinga malipo kwa serikali ndani ya bunge
Ikishindikana tufanye siasa nje ya bunge.

Nashangaa hata manguli wa siasa wapo kimya au wanahofia nini?
 
maskini watanzania, hoja hii naona imekosa nguvu kwa sababu huyo Mwanasheria wa BAE Systems baada ya kubanwa na timu ya Wagunge Makini imebidi akubali yaishe kwamba pesa lazima zipite serikalini maana manyago waliyafanya BAE. Kwa taarifa yenu suala hili limekwisha. Nimeambiwa sasa BAE System hawana jeuri ya kufanya hayo munayoyataka wafanye. Nimeamini Membe akiamua kufanya kitu anaweza kufanya kwa umakini mkubwa. Wengi wetu tuliona suala la kutuma wabunge London ni gharama lakini sasa limezaa matunda. Naskikitika kwamba watanzania wamekosa uzalendo kwa kiasi hicho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom