Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Heshima kwako Malaria sugu,
Hakuna habari za namna hii hapa Arusha magari ya vyama vyote yanapita kutangaza wagombea wao watahutubu sehemu gani ya jiji la Arusha.CHADEMA watakuwa na mkutano wao Kijenge,TLP watakuwa na mkutano Krokoni eneo maharufu sana kwa kuuza mitumba.Godbless Lema anjua kutumia propaganda ili kuvuruga mkutano wa Lyimo hii si mara ya kwanza.
Kwa hiyo unataka kusem Lyimo wanachuana vikali na Bwana Lema?
Alfu Batilda yupo ICU?