Kamlete - akibisha...

Hivi Musiba alikuwa haibi artwork? I have a feeling kwamba alikuwa ana "tafsiri" novel za kizungu na kuziuza nyumbani kama kazi yake. Ebu niambie story zote za CIA, KGB, et la...na mambo ya uninja kwenye novel zake alikuwa haziibi kwenye novel za kizungu? Yaani novel zake zilikuwa kama movie vile...

By the way, yuko wapi huyu mtu siku hizi?

Musiba is no more alikuwa TCCIA.(RIP)
Nadhani hakuiba kazi ya mtu alikuwa mtunzi mahiri nimesoma vitabu vyake vyote vilikuwa na mazingira ya kitanzania, na afrika he was agreat writer
 
Vithlath ni jizi sawa, udalali wake umetugharimu sawa

kampuni iliyotengeneza na kuwauzia jeshi ndo wakuwajibika si dalali

kampuni hiyo vile vile inaweza isiwajibike kwa hasara na vifo hivyo kutegemeana na mkataba wa makubaliano kati ya muuzaji na mnunuaji
 
well.. what do we do kuhusu huyu Vithlani... ?

Hatuwezi kumfanya lolote kwasababu alitoa huduma kulingana na makubaliano yetu na yeye kama tulivyowakilishwa na wenzetu wachache, hivyo ndivyo walivyokubaliana ni wewe unapiga kelele kwa sababu hujui kuwa alitekeleza kama alivyoambiwa?
 
Musiba is no more alikuwa TCCIA.(RIP)
Nadhani hakuiba kazi ya mtu alikuwa mtunzi mahiri nimesoma vitabu vyake vyote vilikuwa na mazingira ya kitanzania, na afrika he was agreat writer
I had read Kikosi cha Kisasi, Njama, Kikomo n.k My take is that he plagiarised from Nick Carter Novels particularly on the way he drew his caracters.
 
nadhani
aaaaah....wewe ndo umenikumbusha mbali kichizi yaani...enzi za kuangua mabibo na kukaanga korosho...maeneo ya mikocheni nyuma ya kiwanda cha baiskeli.....nani aliwinda ndege hapa? mnakumbuka majina ya ndege nyie....mi vyangu vilikuwa visota tu......
tulikuwa wote kipindi hicho masaki wamejaa wamakonde.ndege kama shoro bwenzi,tetere,shorwe ,mbayuwayu
 
Agoro Anduru

Temptation and Other Stories. (Short Story) 1981.

This Is Living and Other Stories. (Short Story) 1982.

A Bed of Roses and Other Writings. (Autobiography) 1989.

That brother was talented. I happenned to have read "This is Living" and Temptation, quite spectacular ukizingatia kulikuwa hakuna internet ya ku plagiarize wala nini.

Sasa siku hizi sijui kuna nani zaidi ya the Shigongos of our world, Mwanakijiji pick up the baton. Unaweza kuja ki Chinua Achebe with a social justice angle kuwabana mafisadi.Jina linajulikana ni kiasi cha kuongea na Mkuki na Nyote, TPH au University Press.

Najua manuscripts zipo.
Mkuu Ntapata wapi vitabu vya Agoro Anduru,nilivisoma miaka kama 6 iliyopita kwa kuazima kwa watu.Je unafahamu sehemu wanapoviuza. Maana hadi leo sijaona mwandishi aliyemfikia huyu jamaa kwa utunzi uliotukuka
 
Mwkjj, mambo ya Wazee wa Vijijini hayo!

Tunasoma "Da Vinci code" na watoto wetu wanasoma "Harry Potter and the Sorcerer's Stone" bana!

Hayo mambo ya "Njama" na " Hawala ya Fedha" na "Vuta Nikuvute," na "Ngoswe: Penzi Kitovu cha Uzembe," na "Shida," na "Kuli" na "Adili na Nduguze" hayo mambo yanaaarrribu...
Mtoto wako anaweza kusoma Harry Potter? Au unamaanisha Sani!!!
 
Musiba yupo,siku hizi anashughulika na chama cha TCCIA,mambo ya viwanda na kilimo nafikiri,muda fulani nilimuona ZNZ kwenye biz isssues,kawa mtu mzima but I wonder what happened to his "talent"...
Utafikiri kuna kipindi wakati Wa JK alianzisha (na wenzake) shirika flani la ndege likiitwa" Tanzania One", lilipigwa marufuku kama sio kufilisiwa, ila sababu sijui.
 
Agoro Anduru

Temptation and Other Stories. (Short Story) 1981.

This Is Living and Other Stories. (Short Story) 1982.

A Bed of Roses and Other Writings. (Autobiography) 1989.

That brother was talented. I happenned to have read "This is Living" and Temptation, quite spectacular ukizingatia kulikuwa hakuna internet ya ku plagiarize wala nini.

Sasa siku hizi sijui kuna nani zaidi ya the Shigongos of our world, Mwanakijiji pick up the baton. Unaweza kuja ki Chinua Achebe with a social justice angle kuwabana mafisadi.Jina linajulikana ni kiasi cha kuongea na Mkuki na Nyote, TPH au University Press.

Najua manuscripts zipo.
Simulizi za kimombo za Agoro Anduru nilizipenda ijapokuwa kimombo kiliniacha hoi.
 
Dah dalali unakula 21billion. Inabidi nijifunze mbinu na kuwa mbobezi.
Networking, ushawishi, propaganda, uchawa bila shaka ni baadhi ya skills
 
Back
Top Bottom