Watu wana elimu ya IV mnasema wanauzoefu??? Enzi zile zimeshapita!
The world is changing so fast!
Elimu kwanza: then uzoeufu!
Wapo wengi tu sana wana elimu na uzoefu pia!
Kwa nini tung'ang'anie watu wa IV ai VI?? Why??
Are we competitive??
No elimu ya IV au VI cant make us competitive wakati kuna watu wana PhD!!
Jee mmelifikisha wapi Taifa kwa hayo madarasa matupu? Elimu ingekuwa ya manufaa kama mwananchi angekuwa anagomboka lakini elimu ya kujitia kwenye siasa na NGO za kuomba misada. Tunahitaji elimu ya kweli lakini hadi saasa tusiwabeze waliotufikisha angalau hapa.