meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Yeyote anaevamia Ikulu au Ofisi za Mkuu wa Mkoa bila taarifa na kuizingira ni mhalifu, tena ni gaidi. Sheria za Ugaidi si Mkapa alizipitisha mbiombio bungeni, au huzijui?
kwa hiyo polisi wanatafsiri sheria!hivi inteligensia ilishindwa kutambua kama kuna kundi la magaidi wanavamia ikulu ya songea wakasubiri mpaka wavamie?acha mbwembwe mkuu.