Kametoa mimba,kameshndwa kutoa ukimwi.

Senator p

JF-Expert Member
Oct 27, 2011
282
43
Wakat serikal na asasi zikiendelea kupiga vita utoaj mimba.Kabint flan mtaani flan kameumbuka,baada ya wk mbili kupita baada ya kutoa mimba.Kamejaza wa2 kwao baada ya kwenda kupima amejikuta kahasika,na kapita njia nzima anapiga kelele za kulia.Ndio wa2 kusimamisha na kumuulza,sijui kachanganyikiwa kataja mpaka alie mpa mimba kumbe n mwalmu wake.
Tumpeni pole.
 
unyanyapaa unaanzaga hivi hivi!

Ingawa siungi mkono kutoa mimba

sio unyanyapaa,kama asngetoa mimba asingepma kwa lazma.Angejpanga ksha akipma mwenywe kwa hiar.Tatzo imemsumbua wk zma ndio maana ikamlazmu,na ili ujue hatumnyanyapa tumemshauri.Hata hcho kichwa hapo juu yeye ndie kasema kwamba "NIMETOA MIMBA, ILA UKIMW UMENSHNDA" ndio watu kujua.
 
unatudanganya ina maana ulikaa nae ukampa ushauri mpaka akakubali kuandika hicho kichwa cha hii habari yako
 
Wakat serikal na asasi zikiendelea kupiga vita utoaj mimba.Kabint flan mtaani flan kameumbuka,baada ya wk mbili kupita baada ya kutoa mimba.Kamejaza wa2 kwao baada ya kwenda kupima amejikuta kahasika,na kapita njia nzima anapiga kelele za kulia.Ndio wa2 kusimamisha na kumuulza,sijui kachanganyikiwa kataja mpaka alie mpa mimba kumbe n mwalmu wake.
Tumpeni pole.

Jambo hili mi naliangaliza kwa upande mwingine kabisa. Kwa maelezo ya hapa juu, binti huyu anaonekana ni mdogo ki-umri na aliyempa mimba na pengine kumpa huo Ukimwi ni mwalimu wake. Na kwa umri huo, nalazimika kuamini kuwa mwl huyo ndiye aliyemrubuni huyo binti na kumtia kwenye matatizo hayo.

Hoja yangu ni inakuwaje mwalimu aliyeaminiwa kuangalia malezi ya watoto wetu huko mashuleni anageuka kuwa ni mharibu wa watoto wetu? Utaratibu huu ukichekewa kama hivi na jamii watoto wetu tutawapeleka wapi kupata elimu? Na hata kama tunawalea kwa maadili kiasi gani kama walimu ni wazinzi wa kiwango hiki, wanetu watanusurika vipi???

Mi nashauri jamii iliyomzunguka huyo binti pamoja na wazazi wake binti kumreport mwl ili sheria ichukue mkondo wake. Ni wazi kuwa wazazi na mtoto wameingia kwenye tatizo lisilorekebishika kirahisi lakini ili kupunguza kasi ya matukio kama haya na kuwaonya walimu wote wenye tabia kama hizi, no bora ashtakiwe na haki kuchukua mkondo wake.

Walimu wengine bwana, loh!
 
Mungu ampe nguvu...then wewe muanzisha maada hizo "ka" unazozifanya prefix kumu-identify huyo mtoto sio busara! its called "sympathy"-learn to understand people's problems
 
Back
Top Bottom