mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
wananchi tumefika sio pazuri kama taifa mshikamano haupo tena hivyo basi napendekeza yafuatayo;
Ziundwe kambi maalum za kufufua uzalendo na mshikamano kitaifa
Viongozi wote waandamizi wakiwamo wa siasa na dini zote wachanganywe na kunolewa na wakufunzi wa Jeshi
Waandishi wa habari na watangazaji wa radio wote wahudhurie mafunzo hayo ya uzalendo.
Uwekwe utaratibu wa waliopitia mafunzo hayo kupewa kipaumbele kwanza kupata ajira!
wana jf naomba mchango wenu hali si shwari!
Ziundwe kambi maalum za kufufua uzalendo na mshikamano kitaifa
Viongozi wote waandamizi wakiwamo wa siasa na dini zote wachanganywe na kunolewa na wakufunzi wa Jeshi
Waandishi wa habari na watangazaji wa radio wote wahudhurie mafunzo hayo ya uzalendo.
Uwekwe utaratibu wa waliopitia mafunzo hayo kupewa kipaumbele kwanza kupata ajira!
wana jf naomba mchango wenu hali si shwari!