Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Kila ufisadi unapoguswa utasikia kelele zinageukia kwa magazeti au vigazeti. Lakini Masha umesahau kwamba kelele za magazeti ndio zilitufanya tuwapeleke nyinyi ikulu? Salva anafahamu hili na DR Gideon anafahamu hili.
Hata hivo bado utatakiwa kujibu zaidi na serikali yako wapi Deep Green mlipoizika ili tuone kama tutakomboa visenti kidogo.
Hata hivo bado utatakiwa kujibu zaidi na serikali yako wapi Deep Green mlipoizika ili tuone kama tutakomboa visenti kidogo.