Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
- Thread starter
- #21
Kinyang'anyiro cha kumsaka mjumbe wa baraza kuu la UVCCM Taifa kwa mkoa wa Arusha jana kimehitinishwa kwa ndugu BENSON MOLLEL kuibuka mshindi wa kishindo kwa kupata kura 326 na kumbwaga mpinzani wake vibaya ,Lightines Msemo aliyeambulia kura 40.ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.