Arusha Leo
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 122
- 72
HATIMAYE Kambi mbili ,baina ya waziri Membe na Lowasa,zilizokuwa zikivutana katika kinyang'anyiro cha nani ataibuka mshindi mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha , kambi ya Lowasa ndio imeibuka mshindi baada ya Robinson Meitinyiku kushinda kwa kura 247 dhidi ya Dr Harold Adamson aliyepata kura 188.