This time JK alikuja na nguvu kubwa ya hoja na data. Aliwaanika pabaya hao viongozi wa mbayuwayu na kuwaita waongo (whichis a bit too strong and undiplomatic)lakini hoja ilifika mahali pake. Viongozi wa wafanyakazi wanatakiwa kukaa na kujiangalia kama wanazo hoja zinazoweza kukubaliwa na kupambwa na data. Haiwezekani wafanyakazi wakala mapato yote ya nchi na kuacha hamna hela ya maendeleo mengine.
tatizo ninaloliona ni kwamba wakati hizo hela za kuwapa hazipo
lakini mbayuwayu wanawaona wateule wakiendelea kununua mashangingi na kujilipa posho nono.
JK angefaulu zaidi kama angesema maneno yote hayo lakini akaonyesha mfano kwa kubana matumizi kwa watendaje wake vile vile. Inaumiza sana kuona kiongozi ananunua landcruiser V8 bila aibu yoyote.
Aliionyesha hasira kama hizo pale Airport wakati jamaa wa itifaki waliposhindwa kuandaa gari la Mapokezi kwa ajili ya First Lady wa mgeni wake,Pia pale alipokuja mkurugenzi wa wilaya ya Ngorongoro... Basi...
Halafu alimaanisha nini kuwepo kwa viongozi wale wote wa juu wa taasisi za usalama kwa swala la 'utaratibu wa kuhutubia wananchi'? Hopeless
Du! Kunashuka mistari hapa balaa!!! Mod... Naomba ubadilishe name yangu nataka kuitwa Mbayuwayu... Mwanakijiji nastahili?
Mzee Mwanakijiji
Hii naomba uichapishe..itoke na tuone salva ataijibu vipi?
alishindwa Mmasai je huyu ataweza..
Narudi rasmi siku si nyingi...
Kulikuwa na haja gani ya kuwa na CDF kama hata walimu wenyewe wana maisah duni?kuna haja gani ya kuongeza Taasisi zingine?
Du! Kunashuka mistari hapa balaa!!! Mod... Naomba ubadilishe name yangu nataka kuitwa Mbayuwayu... Mwanakijiji nastahili?