Kituko JF-Expert Member Jan 12, 2009 9,555 9,330 Aug 28, 2010 #3 inatakiwa utaalamu wa LUgha za picha, lakini ngoja!
M Mutu JF-Expert Member Mar 30, 2008 1,329 47 Aug 28, 2010 #4 Sonara bana ! umetuachina mtihani hapa ,umetupatia Title na picha ya KIKONGWE mgonjwa tuandike habari duh.
Sonara bana ! umetuachina mtihani hapa ,umetupatia Title na picha ya KIKONGWE mgonjwa tuandike habari duh.
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Aug 28, 2010 #5 Kituko said: inatakiwa utaalamu wa LUgha za picha, lakini ngoja! Click to expand... :confused2:.......hope utatuelewesha
Kituko said: inatakiwa utaalamu wa LUgha za picha, lakini ngoja! Click to expand... :confused2:.......hope utatuelewesha
Sonara JF-Expert Member Oct 2, 2008 726 68 Aug 29, 2010 Thread starter #6 Preta said: kama vile sijaelewa......? Click to expand... Subiri utalewa tu
M mpangwa1 JF-Expert Member Jul 19, 2009 278 8 Aug 29, 2010 #7 Kweli ccm imefilisika wagombea hata huyu!! Namwona kama mngonjwa vile au macho yangu.....
MwanaHaki R I P Oct 17, 2006 2,401 705 Aug 29, 2010 #8 Jamani na uzee wote huyu? Sasa JK naye afya yake mgogoro.... aanguke chini ghafla, PWAAA! Ndiye huyu ashike nafasi yake? Mola tunusuru!
Jamani na uzee wote huyu? Sasa JK naye afya yake mgogoro.... aanguke chini ghafla, PWAAA! Ndiye huyu ashike nafasi yake? Mola tunusuru!
Lady N JF-Expert Member Nov 1, 2009 1,914 131 Aug 29, 2010 #9 sijui nilie au nicheke, mambo mengine yanafurahisha na kuhuzunisha ati the same tym ati!
M Mwema Member May 19, 2009 11 1 Sep 1, 2010 #10 Unataka kusema hapa ni pabovu na kuwa panakaribia kukatika?