rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Hizi kamati za bunge ni deal. Mwenye dau kubwa anatetewa asiye na dau anateketezwa! Kamati zinaanza kupteza uhalali kwa kujiingiza katika utendaji wa serikali ndio maana hata maoni yao hayazingatiwi. Wanajulikana wanafanya nini hao.
Wakuu unaweza kushangaa watu wanakuwa victimized na wenye makosa wanaachiwa simply because wana dau kubwa.
Hapo kwenye nyekundu mkuu tupe mfano ili tukulewe vizuri.