Kamati za bunge na maamuzi ya kwenye TV na magazeti

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
594
163
Hivi karibuni kumekua na ukaguzi wa mashirika ya umma unaofanywa na kamati ya bunge. Ni kweli kwamba kamati hizo zimefanikiwa kuibua madudu mengi ndani ya mashirika ya umma. Kwa mfano swala la tbs, ila cha kushangaza ni kwamba pamoja na ushahidi wa kamati hizi kutosheleza bado watuhumiwa hawajawajibishwa, zaidi tunaona wakiumbuliwa na kupata vigugumizi tuu mbele ya tv na magazeti. Inapaswa wawajibishwe ili kupisha sheria kuchukua mkondo wake na siyo blah blah tuu za kwenye media. Nawasilisha wadau.
 
Hivi karibuni kumekua na ukaguzi wa mashirika ya umma unaofanywa na kamati ya bunge. Ni kweli kwamba kamati hizo zimefanikiwa kuibua madudu mengi ndani ya mashirika ya umma. Kwa mfano swala la tbs, ila cha kushangaza ni kwamba pamoja na ushahidi wa kamati hizi kutosheleza bado watuhumiwa hawajawajibishwa, zaidi tunaona wakiumbuliwa na kupata vigugumizi tuu mbele ya tv na magazeti. Inapaswa wawajibishwe ili kupisha sheria kuchukua mkondo wake na siyo blah blah tuu za kwenye media. Nawasilisha wadau.
wakuu hizi kamati zinakurupuka mtathibitisha ninayoyasema kwani wengi ua wajumbe wa hizi kamati uelewa wao mdogo mno hata wale wenye uelewa wanakuwa wanakurupuka tu hawasomi taarifa husika between the lines
 
wakuu hizi kamati zinakurupuka mtathibitisha ninayoyasema kwani wengi ua wajumbe wa hizi kamati uelewa wao mdogo mno hata wale wenye uelewa wanakuwa wanakurupuka tu hawasomi taarifa husika between the lines

Huo ndiyo ukweli wenyewe,uwa wanakurupuka na kuanza kuropoka kwenye vyombo vya habari bila ushahidi wowote!!wengi wao uwezo wao kielimu ni mdogo sana wa kugundua foggery au fraud katika taasisi,hilo ni somo ambalo unatakiwa kukaa shule zaidi ya miaka 3,mtu form 4 anaenda kumkagua dr,ni vichekesho,hivi kweli cheyo ana uwezo wa kukagua mtu!!!!!!!
 
wakuu hizi kamati zinakurupuka mtathibitisha ninayoyasema kwani wengi ua wajumbe wa hizi kamati uelewa wao mdogo mno hata wale wenye uelewa wanakuwa wanakurupuka tu hawasomi taarifa husika between the lines

That's why it's in their best interest to enlighten us , Tujue pumba ni ipi na mchele ni upi, short of that sote Tutaingia kwenye blaming bandwagon ni vizuri wanaotuhumiwa wakatumia muda muafaka kutujulisha ukweli, maana mengineyo yanayoibuliwa yanashtua sana
 
That's why it's in their best interest to enlighten us , Tujue pumba ni ipi na mchele ni upi, short of that sote Tutaingia kwenye blaming bandwagon ni vizuri wanaotuhumiwa wakatumia muda muafaka kutujulisha ukweli, maana mengineyo yanayoibuliwa yanashtua sana

Mkuu uwa wanajibiwa kimaandishi then wabunge wanakaa kimya,usifikiri kuwa uwa yanaisha baada ya kuongea kwenye tv,tofauti iliyopo ni kuwa wanaotuhumiwa ni watumishi wa serikali ambao kimaadili hawawezi kwenda kwenye tv kukanusha,lakini wangekuwa wanaruhusiwa ungeona jinsi hizi kamati zinavyochemsha,wabunge wengi hawapo makini.
 
Wabunge mara nyingi interest yao ni kuonekana kwenye luninga/ magazetini wakifoka ili wapiga kura wao wawaone kuwa wanafanyakazi hata kama muda mwingi wanakuwa wamesinzia mjengoni!!
 
Mkuu uwa wanajibiwa kimaandishi then wabunge wanakaa kimya,usifikiri kuwa uwa yanaisha baada ya kuongea kwenye tv,tofauti iliyopo ni kuwa wanaotuhumiwa ni watumishi wa serikali ambao kimaadili hawawezi kwenda kwenye tv kukanusha,lakini wangekuwa wanaruhusiwa ungeona jinsi hizi kamati zinavyochemsha,wabunge wengi hawapo makini.

naona kama mnatoka out of topic. Mimi nimetoa mfano wa bw. Charles Elegea wa tbs, vielelezo vyote vinaonyesha ni mwizi, na wabunge walienda hadi china na kujionea, cha kwanza walichotakiwa kufanya ni kumwajibisha kwa kumwachisha kazi, and then hatua nyingine za kisheria ziendelee wakati anatumikia adhabu hata kama ni kumsaspend. Juzi kibaki kamsaspend kigogo mmoja kenya kupisha uchunguzi.
 
Suala lililopo hapa ni kwamba hizi kamati hufanya kazi kwa ushabiki uliopindukia ndo maana madai yao yote huishia kwenye Tv! Binafsi sina kumbukumbu sahihi ni nani walishamtuhumu Live kisha hatua zikachukuliwa. Hata hili la Bwana Ekelege hata siamini.
 
Suala lililopo hapa ni kwamba hizi kamati hufanya kazi kwa ushabiki uliopindukia ndo maana madai yao yote huishia kwenye Tv! Binafsi sina kumbukumbu sahihi ni nani walishamtuhumu Live kisha hatua zikachukuliwa. Hata hili la Bwana Ekelege hata siamini.
hili bwana Ekelege laweza kuwa kweli ila maamuzi mengi hizi kamati zinakuwa zinapoteza muda mfano ni hivi karibuni tu Zittobalinukuliwa akisema kuwa kuna shirika lenye hela za bure hata nyie waandishi mkitaka kwenda kusoma mtapata udhamini asilimi mia moja
 
naona kama mnatoka out of topic. Mimi nimetoa mfano wa bw. Charles Elegea wa tbs, vielelezo vyote vinaonyesha ni mwizi, na wabunge walienda hadi china na kujionea, cha kwanza walichotakiwa kufanya ni kumwajibisha kwa kumwachisha kazi, and then hatua nyingine za kisheria ziendelee wakati anatumikia adhabu hata kama ni kumsaspend. Juzi kibaki kamsaspend kigogo mmoja kenya kupisha uchunguzi.

Mkuu si kwamba tunatoka out of topic,na hakuna anayekataa kuwa hakuna madudu yanayofanyika,kinachosemwa hapa ni kuwa mara nyingi uwa kamati wanachemsha,na hilo la TBS litapata uhakika tu,suala hapa je na hayo madudu licha kuwa ni machache yanayoibuliwa hatua gani zinachukuliwa?Tanzania naona kama hatuna huo utaratibu wa kuwajibishana,suruhisho ni kubadili chama kinachotuongoza,kwa ccm tutabaki kupiga kelele tu,swali hapa je ni chama kipi kinaweza kurudisha nidhamu ya nchi????????????kwa sasa nikienda nje ya nchi naona aibu kujitambulisha kuwa mimi ni mtanzania.
 
hawa matapeli wapo wengi,ila hata wanufaika naona wamewageukia wabunge...sasa kama kamati imesema kule japan,singapore,china tbs walishindwa kuonesha wakala wao hapo mbunge kakurupuka?inahitaji awe na PhD ndo amuone wakala?hata ivo bunge halina meno ndo mana naona bora wakae kimya,hata richmond walianza ivo,ila matapeli wakawazid ujanja,yuko wapi mwakyembe!matapeli wamejaa taifa ili.
 
kamati za wabunge wa ccm hawawezi kuwawajibisha watumishi wa serikali ya ccm hata siku moja. Walimbebea bango jairo kisa aliwakebehi wabunge otherwise na yeye asingeguswa, lakini hata hivyo jamaa bado anakula mshara pasipo kuingia ofsini mpaka leo pamoja na ushahidi wote kumuelemea.

Wajumbe wa hizi kamati hizi ndo sehemu zao za kupokea hongo kutoka kwa mashirika ya umma yanayoongozwa na mafisadi. Siku hizi wanaongea kwenye tv baada ya kuanza kuumbuana kuwa baadhi yao hupokea hongo.

Nchi hii hakuna kitu kinanchofanya kazi vyote vimesimama mpka ccm ianguke.
 
Huo ndiyo ukweli wenyewe,uwa wanakurupuka na kuanza kuropoka kwenye vyombo vya habari bila ushahidi wowote!!wengi wao uwezo wao kielimu ni mdogo sana wa kugundua foggery au fraud katika taasisi,hilo ni somo ambalo unatakiwa kukaa shule zaidi ya miaka 3,mtu form 4 anaenda kumkagua dr,ni vichekesho,hivi kweli cheyo ana uwezo wa kukagua mtu!!!!!!!

Cheyo ni mmoja wa CPA Holders wa mwanzo tz.usiropoke kijana
 
Back
Top Bottom