ile kamati ndogo ya bunge iliyondwa kuchunguza tuhuma za baadhi ya wabunge kupokea rushwa haijamaliza kazi? majina ya wabunge wala rushwa yawekwe hadharani ili taratibu za kisheria zifuate!!
Ndugu yangu usiniite fisadi nachokuambia kina ukweli, anzia kamati ya akina Nyarari, njoo kamati ya akina judge Kipenka na mwenziwe, njoo kamati ya Dr Ulimboka, kamati ya David Jairo zote ni hewa.Hata kamati ya Richmond kwangu ilikua hewa tu maana ingekuwa ya ukweli tusingekuwa tunasumbuliwa na Dowan.Sio ni bora wakae watulie tujue kimoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.