Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,181
- Thread starter
- #41
Kitu kizito chenye ncha kali, kinaweza kuwa jini makata hiki.Tumesikia hilo kuwa kuna maaskari nane Morogoro wamekamatwa kuhusiana na kuuwawa kwa Ally Zona. Hatujasikia majibu ya hiyo TUME zaidi ya kumsikia Nchimbi kabla hata ya kamati zake na taarifa ya awali ya madaktari kuwa marehemu aliuwawana kwa kugongwa na kitu chenye ncha kali na kuelezwa waliofanya hivyo ni wananchi maana askari walikuwa umbali naye mita 300. Tumeshangaa leo Polisi wanakamatwa kinyemela baada ya sakata la Mwangosi. Inamaana hao Polisi waliokamatwa ni wafuasi wa CDM, maana propaganda za awali zilikuwa zinaeneza kuwa ameuwawa na wafuasi wa CDM.