Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Kama vp ianze kufungwa ndoa theni ndo michango ifuate
Achana nao...kwanza nilishajitolea 80% ya bajeti yote so kumalizia 20% sishindwi na nikishindwa ntamwomba Ashadii yale madeni waliyorudisha aniazime then sherehe ifanyike...Kama vp ianze kufungwa ndoa theni ndo michango ifuate
Lol....kweli waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba...Sasa SS....
Tupange mikakati,kwani hatujatimia?
Hahahaha, mi nataka niwe kamati zote mbili
Kumbukeni kunipa hela ya usafiri na vocha
maana kazi ninayo fanya sio ndogo...:wink2:
bwana harusi amezaa na msaidizi wangu, haifungwi ndoa hapa.
Kama vp ianze kufungwa ndoa theni ndo michango ifuate
Mnazingua au ishu ya ukweli?
Hahahaha, mi nataka niwe kamati zote mbili
Kumbukeni kunipa hela ya usafiri na vocha
maana kazi ninayo fanya sio ndogo...:wink2:
Mtally huku ni kamati ya majungu na fitina...karibu kwenye kamati halisi ya maandalizi upate kitengo
mmeanza mizengwe, ngoja niandae kikosi changu tumteke bi harusi mtarajiwa!
mmeanza mizengwe, ngoja niandae kikosi changu tumteke bi harusi mtarajiwa!
Hata mi nashangaa eti mwenyekiti Erickb52 na mweka hazina Amyner! Sitoi sen'tano yangu!
Kaazi kwelikweli.....
Usijali hata misibani huwa wapo wanaipinga maiti isizikwe hadi wapewe kitu...eti huwa wanajiita watani...lol
Hata hawa ni watani wetu tu...tukiwapa jero wanalegea
Hii kamati usijiunge nao maana expire date yake imefika....
Wewe si uko kamati ya mapokezi ya wageni??
Sasa mbona na nawewe unataka kuleta kiwingu kwa bi harusi....
Siamini km hata wewe Kongosho unamsaliti JG na Husny na kuanzisha fitna na Majungu kiasi hiki tena na kamati zishaanza kuundwa....
mambo ya TRIAL MER... Hayo dai chako kongosho..
We dogo tatizo lako tamaa zinakusumbua...
Kwanza tamaa ya wake za watu(umeelewa)..
Pili tamaa ya pesa....
Tatu tamaa ya madaraka-kukosa uenyekiti na utunza fedha wa kamati....
Badilika dogo
Sekta ya vinywaji mnaeza mkaniweka mimi...
Hawezi kudai maana hata yeye kaharibu kwa mdogo wake Ashadii
Mtally huku ni kamati ya majungu na fitina...karibu kwenye kamati halisi ya maandalizi upate kitengo
Hata mi nashangaa eti mwenyekiti Erickb52 na mweka hazina Amyner! Sitoi sen'tano yangu!
Kaazi kwelikweli.....
Usijali hata misibani huwa wapo wanaipinga maiti isizikwe hadi wapewe kitu...eti huwa wanajiita watani...lol
Hata hawa ni watani wetu tu...tukiwapa jero wanalegea
Ntawakuta mtaa gani nichangamkie tenda?
Hyo kamati sii amini. Ni ya kitapeli
Bado nampa nafasi kwanza B52 ya kujirekebisha